Kuna taarifa za uhakika kuwa UWT kwa kushirikiana na ikulu walimbana Mengi kutokuruhusu marudio ya mdahalo wa DR SLAA katika kituo chake cha ITV hapo juzi kama ilivyokuwa imetangazwaa awali.
Ni kweli Bwana Mengi alikutana na Mgombea Uraisi wa CCM Ndugu Kikwete na maafisa waandamizi wa UWT na Ikulu na kuonywaa kutokuendeleaa kumpa nafasi ya kujitangaza zaidii Dr Slaa katika vituo vyake. Wewe ni mwanachama mwenzetu lakini unatugeuka...kwa ni nn? Aliuliza Ndugu Kikwete wakati wa kikao hicho.
Jamani hivi Mengi mpinga MAFISADI maekubalianaa nao????
Ni kweli Bwana Mengi alikutana na Mgombea Uraisi wa CCM Ndugu Kikwete na maafisa waandamizi wa UWT na Ikulu na kuonywaa kutokuendeleaa kumpa nafasi ya kujitangaza zaidii Dr Slaa katika vituo vyake. Wewe ni mwanachama mwenzetu lakini unatugeuka...kwa ni nn? Aliuliza Ndugu Kikwete wakati wa kikao hicho.
Jamani hivi Mengi mpinga MAFISADI maekubalianaa nao????