Mario Puzo v/ James hadley chase

Nakubaliana in somewhat unachosema lakini point yangu ni kwamba kuhusu Puzo kama ukifatilia story ya Carlo Gambino au real stories za Mafia Families:-
Bunano, Gambino, Genovese au Lucchese utaona kwamba materials nyingi za kwenye kitabu zimetoka kwenye real life ya mafian life.. na Mario been Italian lazima atakuwa alizipata hizo materials hapo.. Sio kwamba nasema hafai ila kwa hiki kitabu he had an inside scoop / information (worth of telling the story by itself...) si hivyo tu na Franz Ford Coppola akaibadilisha into a movie of all time kwa usaidizi wa genius actors (Marlon Brando, Al Pacino, Robert De Niro, Andy Garcia etc) nothing could go wrong.. but in comparison tukilinganisha na Chase ingawa vitabu vyake they are short and straight forward lakini to write about 90 of them its something of a miracle (ndio maana nikasema maybe with the same mafian information Chase angeweza kuandika a masterpiece... Kwahio kwa uandishi / plot nadhani you can argue about Chase Case, lakini when it comes to waandishi ni vigumu as its a matter of preference, therefore they are all great lakini I can say Chase has done more work / input when it comes to writings.


Sun mwandishi yoyote yule ambae ni mwandishi hakuna ambacho kinakuwa created out of Vacuum. Hata kama ni Sci-fi hata kama ni fantasies at the end of the day story inakuwa ina present real life ilivo no matter kuwa the work is fiction. Nakubaliana partly na hio ya kusema he had the inside scoop; But tell me do not most writers have inside scoop of what they write but still fail kuwakilisha walilolenga katika maandishi the way inatakiwa? As much as hizo factors ulizotaja hapo in blue, hata tu talent alikuwa nayo. Ukitaka kujua hilo kuna novel yake ya "The Fourth K" K as in Kennedy... It is not about the mafia it is about politics za US. The way Puzo ameweza wakilisha both sides of the story from Italy, Uarabuni, Marekani, na Uingereza is Impressive! So amazingly and Intelligently Impressive....

Nakubaliana pia na ulilosema kuhusu Chase... na ndio mana nasema if you have read too much of Chase you can predict most of his stories. Nakubaliana pia in the fact kuwa ni ngumu sana kuwa judge katika uandishi. They guys are Great, wote wawili. They give life to imagery kiasi kwamba the reader in the future ukikumbuka story kama vile you had watched a movie... Superb.

Hivo ni baadhi ya vitabu ambavo huwa natamani kila mmoja around me angependa kusoma vitabu... I feel like they are missing SO much fun!
 
Hapana Mkuu huwezi kuandika a best seller kwa kubahatisha (you must be good upstairs na mtu wa kufanya research n.k.) kwahio kazi aliyofanya Puzo ni kubwa na probably kitabu chake kimeuza kuliko any single book by Chase.., Hapa am just looking at things critically na kuweka some marks / points just kuona nani zaidi (although ni vigumu sababu ni matter of preferences na nani anapenda nini...) kuna watu wadada wengi wanampenda jack collins (ingawa mimi simshabikii sana) ila does not mean kwamba hafai..

Kwahio a single point which puts Chase apart from others ni wingi wa vitabu alivyoandika (na vyote ni readable) ingawa tukichagua kimoja kimoja huenda nikasema Sydney Sheldon vitabu vyake ni vizuri zaidi lakini hata yeye ni vigumu kuona kama angeweza ku-replicate his work 90 times...

ni kweli hili nijambo linalotegemea preferance ya mtu,and sometimes hata ukweli unaweza fichwa kwasababu ya mapendeleo,puzo(marehemu ni mzuri but alikua na coverage ndogo ukimlinganisha na chase,uchache wa kazi!though nimesoma vitabu vichache vya chase(17) na puzo(4) but nimeshawika hata kuwalinganisha!..lakini potelea mbali ngoja tuone maoni ya wadau wengine,mie kura yangu ntapiga mwishoni
 
Mario Puzzo ana Novels kama kumi na sita tu.., ingawa The Godfather, The Sicilian na Last Don zilikuwa a work of art lakini kama unaangalia consistent na genius when it comes to writing ni wachache wanaoweza kufanya maajabu aliyofanya chase.. anavyo vitabu zaidi ya tisini na vyote ni masterpieces.. na story ni touching na tofauti tofauti..

Ukilinganisha na Mario Puzzo (aliyeandika kuhusu Mafia) utaona kwamba he had more materials to work with more readily.., You can argue kwamba maybe just maybe kwamba Godfather was a Bestseller kuliko vitabu vya Chase lakini Chase was more consistent anyway its hard to compare they are all good authors lakini Chase was out of this world by being consistent... and I can say he might have been a better author (maybe with same materials Chase might have written a better Godfather than Puzzo)

Chase is good lakini kilichoniboa kwenye novel zake ni endings. His pieces kweli ni of top class and the thrill one gets while reading em is un imaginable lakini happy ending is something i have not seen in his novels so far. Zote zinaisha sadly and the good guy is left for dead.
 
James Hadley Chase, Mwandishi mzaliwa wa Uingereza, Jina lake halisi ni René Lodge Brabazon Raymond (Amezaliwa tarehe 24 Dec1906, amefariki tarehe 6 Feb 1985). Ila akijulikana kwa majina mengi ya kiuandishi likiwemo lile maarufu la James Hadley Chase (JHC), Majina mengine ni: Ambrose Grant, James L. Docherty, Raymond Marshall, na R. Raymond.

Ameandika jumla ya vitabu visivyo pungua tisini (90). Na vitabu vyake vipatavyo 50 vimefanywa kuwa filam.


Kwa kutumia jina la James Hadley Chase ameandika vitabu visivyo pungua 71, kwa jina la James L. Dochery kitabu kimoja, kwa jina la Raymond Marshall vitabu 18, kwa jina la R. Raymond kitabu kimaoja na kwa jina la Ambrose Grant kitabu kimoja.

Miaka ile ya shule za msingi na sekondari ndio vilikuwa vitabu vyetu vya kujifundishia kiinglishi, kisha ndio tukamia kwenye hizo best seller, za kina Mario Puzo na wenginewe.
(Link: J.H.C|works|R.Raymond)
___________________

Mario Puzo a.ka Mario Cleri, jina lake halisi ni Mario Gianluigi Puzo, Mwenye asili ya Kitaliano na kimarekani (Amezaliwa 15 Oct 1920, amefariki 2 July 1999), Alikuwa ni mtunzi wa riwaya na mwandishi wa filam (screenwriter), Kitabu kilichokuwa kinazungumzia kundi la Mafia, The Godfather, cha mwaka 1969, amabacho baadae kilifanywa filamu ndio utunzi uliomwinua sana kwenye medani ya uandishi. Na hii filamu ilichaguliwa kuingia kwenye ushindanishaji wa filamu bora (Academy Award) mara 11 na kushinda Award 3. Ikumbukwe kwamba ile filamu ya superman I na II ya mwaka 78 na mwaka 80, ni uandishi wa Mario Puzo na hata screenply aliandika yeye.

Mario Puzo ameandika novels 11, Non-fiction 3 na simulizi fupi fupi zisizo pungua 10, kwenye ulingo wa filam ameandika screenplay 10

Kitabu chake cha mwisho The Family cha mwaka 2001, kilimaliziwa kuandikwa na rafiki yake wa kike Carol Gino.
Link: Mario Puzo
 
Mario Puzzo ana Novels kama kumi na sita tu.., ingawa The Godfather, The Sicilian na Last Don zilikuwa a work of art lakini kama unaangalia consistent na genius when it comes to writing ni wachache wanaoweza kufanya maajabu aliyofanya chase.. anavyo vitabu zaidi ya tisini na vyote ni masterpieces.. na story ni touching na tofauti tofauti..

Ukilinganisha na Mario Puzzo (aliyeandika kuhusu Mafia) utaona kwamba he had more materials to work with more readily.., You can argue kwamba maybe just maybe kwamba Godfather was a Bestseller kuliko vitabu vya Chase lakini Chase was more consistent anyway its hard to compare they are all good authors lakini Chase was out of this world by being consistent... and I can say he might have been a better author (maybe with same materials Chase might have written a better Godfather than Puzzo)

Nimesoma vitabu vingi,labda ,vya Jamas Hadley Chase,na huyo Maria Puzo,nimekisikia kitabu ,The Godfather,lakini sijakisoma. Lakini hawa wote ni sawa. Hakuna sababu ya kuwashindanisha;pamoja na Harold Robins,Sidney Sheldon. Lakini hii siyo education,it is entertainment. Nilisoma ''The Adventures'' ya Harold Robins,nikataka kuwa Ambassador,kwa sababu ilikuwa ni story kuhusu diplomats.
 
Kwa wale wasomaji wa novel hasahasa "crime fictions" hayo majina hayatakua mageni kwenu,wote wawili ni marehemu kwa sasa
baadhi ya kazi za puzo ni 'the godfather','the dark arena'the sicilian etc
baadhi ya kazi za chase ni 'no orchids for miss blandish','i'll get you for this',safer death etc.
Je,kwa mtazamo wako kazi za nani ni nzuri zaidi na ni mwandishi yupi alikua mzuri zaidi(the best)?

Am the ex detective na nadhani James Hadley Chase ni kiboko. Nakumbuka Behind any success there is crime, The Coffin from Beijing etc
 
Nimesoma vitabu vingi,labda ,vya Jamas Hadley Chase,na huyo Maria Puzo,nimekisikia kitabu ,The Godfather,lakini sijakisoma. Lakini hawa wote ni sawa. Hakuna sababu ya kuwashindanisha;pamoja na Harold Robins,Sidney Sheldon. Lakini hii siyo education,it is entertainment. Nilisoma ''The Adventures'' ya Harold Robins,nikataka kuwa Ambassador,kwa sababu ilikuwa ni story kuhusu diplomats.

inategemeana na wewe binafsi unavokichukulia kitabu,kama umekisoma and then ukasema let it go hiyo itakua entertainment bt kama utaamua kuyafikiria hata kwa uchache uliyoyasoma it will something beyond entertainment!nadhani ni jukwa sahihi la huu uzi
 
Chase is good lakini kilichoniboa kwenye novel zake ni endings. His pieces kweli ni of top class and the thrill one gets while reading em is un imaginable lakini happy ending is something i have not seen in his novels so far. Zote zinaisha sadly and the good guy is left for dead.
yeah kila mtu ana style yake ya uandishi mfano:-

Ukimsoma Agatha Christie au Sydney Sheldon; always unayemdhania siye
Erie Stanley Gardner : Utamu unakuja kwenye court room drama

Lakini Chase mara nyingi huwa watu wanakuwa used (suckers) ingawa nimevisoma zamani baadhi ya hivi the good guy won at the end...

The Vulture is a Patient Bird (ingawa sikumbuki vizuri nadhani mwisho ni cliff hunger)
Mission to Sienna
Mission to Venice
 
Kwa wale wasomaji wa novel hasahasa "crime fictions" hayo majina hayatakua mageni kwenu,wote wawili ni marehemu kwa sasa
baadhi ya kazi za puzo ni 'the godfather','the dark arena'the sicilian etc
baadhi ya kazi za chase ni 'no orchids for miss blandish','i'll get you for this',safer death etc.
Je,kwa mtazamo wako kazi za nani ni nzuri zaidi na ni mwandishi yupi alikua mzuri zaidi(the best)?
mario puzo yko juu!chase novel zake zote zinafanana,yani labda kama mtu asome novel moja lakini kwa aliyesoma novel zake,kabla hajaanza mpya anajua kuna blackmail.pesa za wajane,wanawakewarembo ambao wanakuwa kama bait kwa main character na bado huwa wafakii hitimisho la kuwapata,kiukuweli chase novel zake zinatabirika sana!
 
Sun mwandishi yoyote yule ambae ni mwandishi hakuna ambacho kinakuwa created out of Vacuum. Hata kama ni Sci-fi hata kama ni fantasies at the end of the day story inakuwa ina present real life ilivo no matter kuwa the work is fiction. Nakubaliana partly na hio ya kusema he had the inside scoop; But tell me do not most writers have inside scoop of what they write but still fail kuwakilisha walilolenga katika maandishi the way inatakiwa? As much as hizo factors ulizotaja hapo in blue, hata tu talent alikuwa nayo. Ukitaka kujua hilo kuna novel yake ya "The Fourth K" K as in Kennedy... It is not about the mafia it is about politics za US. The way Puzo ameweza wakilisha both sides of the story from Italy, Uarabuni, Marekani, na Uingereza is Impressive! So amazingly and Intelligently Impressive....

Nakubaliana pia na ulilosema kuhusu Chase... na ndio mana nasema if you have read too much of Chase you can predict most of his stories. Nakubaliana pia in the fact kuwa ni ngumu sana kuwa judge katika uandishi. They guys are Great, wote wawili. They give life to imagery kiasi kwamba the reader in the future ukikumbuka story kama vile you had watched a movie... Superb.

Hivo ni baadhi ya vitabu ambavo huwa natamani kila mmoja around me angependa kusoma vitabu... I feel like they are missing SO much fun!
haswaaaa!mi zinakuwa zinanibore kiasi flan!
 
mario puzo yko juu!chase novel zake zote zinafanana,yani labda kama mtu asome novel moja lakini kwa aliyesoma novel zake,kabla hajaanza mpya anajua kuna blackmail.pesa za wajane,wanawakewarembo ambao wanakuwa kama bait kwa main character na bado huwa wafakii hitimisho la kuwapata,kiukuweli chase novel zake zinatabirika sana!
Mkuu ukitaka mystery msome Agatha Christie..., Chase yeye vitabu vyake sio mystery issue sio mwisho itakuwaje ila issue ni vipi sucker anakuwa used.., issue sio kama mtu atashikwa issue ni vipi mtu atatoka vipi kwenye deep hole aliyoingia au ni vipi atajichimbia zaidi, issue sio mtu ataibiwa .., issue ni plot ya vipi ataibiwa.., kwahio its nothing about mystery and its all about thriller...

Ofcourse if you are Carlo Gambino.., John Gotti au Al Capone unaweza ukasema hata novels za Puzo zinatabilika..., na ukiangalia vizuri unajua mwisho wa siku a mafia will be painted in good light.., by the way soma This way for shroud, Mission To Venice, Vulture is a Patient Bird na My laugh Comes Last and you will get my point.., (the story is not kwenye ni nani alifanya, bali ni thriller ya a Cat and Mouse)
 
Wakuu mmeongea nimewapenda kwani navutiwa sana na novel nilianza na James hardley Chase ya kwanza 1973 na kufika 1977 nilikuwa nimepitia zote zilizokuwa madukani(around 50) then, nikawasoma na kina Nick Carter, Mickey Spillane, Perry mason na wengine wa ngazi hizo 'nilipokua' nikahamia kwa kina Mario Puzo, Ludlum, Sidney, John Grisham, Athur Hailey, Harold Robins, Fredrick Forsyth etc. Kwa hivyo nilichojifunza kwa kuanzia J Hardley ni mzuri sana, easy flow na interesting plots- i still read them todate kwa marudio. Mario kidogo anafaa apambanishwe na kina Ludlum, Sidney, John Grisham, Athur Hailey.

ama kweli kusoma novel ni raha tupu, Jana nilimaliza kurudia one of my favorite James hardley - This way for a shroud - Vito frerrari(pint size)
Kwa wanaotaka kukuza kiingereza this is a sure way.
 
Kwa wale wasomaji wa novel hasahasa "crime fictions" hayo majina hayatakua mageni kwenu,wote wawili ni marehemu kwa sasa
baadhi ya kazi za puzo ni 'the godfather','the dark arena'the sicilian etc
baadhi ya kazi za chase ni 'no orchids for miss blandish','i'll get you for this',safer death etc.
Je,kwa mtazamo wako kazi za nani ni nzuri zaidi na ni mwandishi yupi alikua mzuri zaidi(the best)?

Loh! Great temptation ...

Mkuu ni kutuingiza kwenye mtihani kuwa kweka hawa watu wawili bila kutupa LEADINGS .. Tuwapime wapi na katika eneo gani!

Lakini nafikiri pia kuwa ni vizuri kwani naona kila mtu amejirusha kwenye angle anayotaka ... Its lovely thread!

Mimi nitaangalia kwenye maeneo

... Meaning in real life

... Understanding in real life

... Experience in real life

... all this against individuals, family and society in problem solving!!!

Bahati mbaya/nzuri Chase karibu zote nilifanikiwa kuzipitia nikiwa o level hivi tena trough comption ya vijiweni na Ku tafuta impressions etc ... nili consider Mario Puzo like a higher stage and a bit serious sires kuliko Chase!! .. haikuwa rahisi kujiiba wakati mwalimu anafundisha darasani unakaa dawati la nyuma kabisa .. mnashindana kumaliliza God Father lakini Chase was easier!! ... hata it was much more simple ku predict the end of chase na kwenda ku present kijiweni/group kuwa ... Mimi "The Sucker Punch" ...tayari ..nshamaliza ... what is next.. lol!!!
 
Wakuu The Boss, Ndahani and sun wu, Regards. Na looking forward to the fun of reading your inputs... I hope Azimio Jipya and Daudi mchambuzi have seen this thread.

Indeed the thread brought back my old good days za chase and this other great Dude ... enzi hizo no Internet, no face book, hata movie ... ujichimbie kiukweli ... the only solution? Unakachukua Ka chase kamoja weekend ... you go al the way through ... jumatatu watakukoma ... unawaelezea hadi ... Lol ...wanakuona wewe sio wa kawida!!

Hah hah ..Remember we talked a lot of God father before ... ngoja kwanza ni some posts!!
 
You want a real book with real life experiences of real life suckers and sucked both books are Great. You want to learn from the book and apply that knowledge Mario Puzo is the man. To me Puzo's Books is life where as Chase is just fun out of reading books. If you read too much Chase you can Predict his books and be right, but you can rarely be right with Puzo... A master of suspense... A Great Story teller.

Cmon ... you have taken all the words from my mouth lol!!

Ona post yangu ya kwanza ...!!

It real depend you read for what motives ..saa nyingine just kusoma na kustarehe etc!! Chase become much or less as an entertainment ... kama ukisha zisoma kama kumi hivi ... kwani unaweza kuruka some kurasa ... na ukapatia kujua kile ulichoruka kabisa ...!!Na story ikanoga ... mbaya zaidi ... ukazitumia technique kuzuga mjini kidogo lol ...am kidding ..(Utotoni)!!

Puzo ... True lessons in real life ... wala sijui nianzia wapi... I gain a lot regarding Emotional intelligence kwa mfano kupitia Puzo The God father ..remember ..the popular never get angry, never intimidate ...reason with people ... hah ..

Personally I believe there is a lot hidden through our emotions .. Sasa kwa Puzo ... Looooohhhh!!! how to conquer evaluate emotions ..kwenye ku handle issues zilete MAANA ndani ya UEELEWA ...ETC

I found a lot of substance in Godfather for example, I cant get in Chase, when its about to look realy deeper in understanding the meaning of life. Why things work as they are, why the way it looks its not the realy what it means ..etc

.... http://www.mariopuzo.com/img/books-map.jpg
 

Attachments

  • Mario Puzzo.doc
    252.5 KB · Views: 42
Back
Top Bottom