kifupi kirefu
JF-Expert Member
- Oct 29, 2018
- 539
- 3,507
Juzi kwenye mjadala wa Kodi tulikutanika watu zaidi ya elfu 2 bila kuomba kibali cha polisi na tukajadiliana kwa amani nakuwafungua masikio na macho Wana CCM na wasio Wana CCM
Leo idadi imeongezeka na kufikia zaidi ya watu elfu 6 kitu ambacho ni nadra sana kufanya na hata Marais wa Nchi wanapokutqna na wananchi. Mjadala pia umeenda vizuri na Sasa hii SPACE inaonekana kuwa mbadala wa radio na televisheni ambavyo vyombo hivi vinavizingiti na hakuna Uhuru.
Lengo la space nikufikia mkutano wa laki moja kwa mara moja lakini pia uamasishaji unaendelea ili wasomi hasa vijana wahitimi wa shule na vyuo waweze kutumia fursa hii kujadili maendeleo na mustakabali wa Taifa letu.
Tuzidi kuhimizana tutumie mtandao kupanua uelewa na kuwapanua ufahamu walio chini au karibu yetu
Space- MJADALA UENDELEE
Leo idadi imeongezeka na kufikia zaidi ya watu elfu 6 kitu ambacho ni nadra sana kufanya na hata Marais wa Nchi wanapokutqna na wananchi. Mjadala pia umeenda vizuri na Sasa hii SPACE inaonekana kuwa mbadala wa radio na televisheni ambavyo vyombo hivi vinavizingiti na hakuna Uhuru.
Lengo la space nikufikia mkutano wa laki moja kwa mara moja lakini pia uamasishaji unaendelea ili wasomi hasa vijana wahitimi wa shule na vyuo waweze kutumia fursa hii kujadili maendeleo na mustakabali wa Taifa letu.
Tuzidi kuhimizana tutumie mtandao kupanua uelewa na kuwapanua ufahamu walio chini au karibu yetu
Space- MJADALA UENDELEE