Beatrice Kamugisha
JF-Expert Member
- May 18, 2019
- 757
- 1,000
Awali nilipokuwa naangalia ujio wa SPACE kama njia ya kufanya bunge la wananchi sikuona Kwa upana ukubwa wa forum Hii. Nikiri Kwamba Maria Sarungi ni Moja ya mtu aliyenufaika kiubunifu na utawala wa awamu ya Tano. Alipofungiwa online TV yake hakukata tamaa alifanya research ni namna gani atakwenda hewani bila kuomba leseni TCRA Wala mamlaka ya Serikali.
Finally akaja na space na nikiri Kwa watu wanaopenda kujifunza na ambao siasa za vyama siyo priority ukiingia space kupitia YouTube au tweeter na kusikiliza utagundua kwamba wapo Watanzania wenye maono makubwa na kwao Madaraka siyo kipaombele Bali wanahitaji Uhuru wa kujadiliana. Utabaini akili timamu nyingi hazipo serikalini zipo sekta binafsi, utabaini watu wanaomwamini MUNGU na wanaoishi MUNGU apendavyo siyo viongozi wala watawala bali watu wanaopata vipato vidogo vya haki kupitia akili, maarifa na ubunifu waliopewa na mwenyenzi MUNGU
Nirudi kwenye mchakato wa Sasa wa Kupata rasimu ya Katiba unaoendelea kwa Sasa. Nimeona Kwa awali wamepatika au kupigiwa Kuru watu 73, well and good. Waliopigiwa Kura wote Wana sifa ya kusaidia maoni na kujitolea lengo litimie. Ila niombe mfanye maboresho yafuatayo
1. Naomba mpate wawakilishi wa vyama vya siasa vinavyoamini kwenye katiba Mpya, Kila chama kitoe mjumbe mmoja. Vipo vyama kama CcM from the very beginning wao katiba Mpya siyo àgenda na hivyo tusijidanganye kwamba memba kutoka ccm atawakilisha msimamo wa chama bila chama kuridhia. Chagueni watu ambao wanakiri kwa dhati kwamba Tanzania inahitaji katiba Mpya. Naelewa hizo ni kura lakini kumbukeni na simamieni vigezo mlivyotoa,Mmesema atakayepigiwa kura awe ni yule ambaye anaamini nchi inahitaji Katiba Mpya. Jielize ni lini Nape, Kagasheki, na wengine wa aina hii wamewahi kutoka adharani wakasema wanahitaji katiba Mpya? Kwa kifupi watu Hawa ni vigumu kuwa wajumbe wa mchakato huu Kwa sababu pamoja na mawazo na misimamo Yao kuhusu katiba Bado wanaamini msimamo wa chama kuliko maslahi ya Taifa. Watu wa aina hii hata Chadema na ACT wapo,wao wanasikiliza mwenyekiti anasema Nini kitu ambacho kwenye katiba ya nchi uwezi kuwatumia watu wa aina hii lazima watakukwamisha Kwa sababu wataleta maoni ya katiba ya chama yawe maoni ya nchi
2. Mkitekeleza hoja ya kwanza mtakuwa tayari mmeondoa wana Chadema kwenye hiyo timu. Siyo afya na napinga chadema kuwa na wawakilishi wengi, awepo mmoja na siyo lazima atoke kwenye top ranks wa chama.
3. Tuwe na mwakilishi mmoja kutoka TLS kama wanaamini Katiba Mpya, LHRC na mashirika mengine yanayotetea haki za makundi Mbalimbali yanayoamini kwamba tunahitaji katiba Mpya
4. Tuwe na wawakilishi wawili mmoja mwanaume na mmoja mwanamke wanaowakilisha wazee
5. Tuwe na mwakilishi wa makundi maalulumu ,
6. Tuwe na mwakilishi wa viongozi wastaafu wakitaifa.
7. Mwakilishi wa vijana, wanahabari, diaspora wanaoamini tunataka katiba na wanaharakati mmojammoja kill kundi
8. Mwakilishi wa Kila Dini,
9. Wawakilishi wawe kutoka pande zote za Muungano.
10. Tuweke nafasi ya wajumbe waalikwa ambao watakuwa watu Wanaotoka kwenye katiba strong na jukumu lao nikushare expirience kuhusu operationalization za katiba kwao.wanaweza kuwa Watanzania au wageni.
Mkitumia makundi haya na mwengine kuomba kura itawasaidi zaidi kwamba kwenye kila kundi atakayepata kura nyingi ndiye anakuwa mwakilishi wa kundi husika.
Then hii kamati au timu kwenye kukusanya maoni ndipo sasa itakwenda kila kona ya nchi kukusanya maoni, haitabagua Wana CCM wala chadema wala wakiristo wala waislam Wala watoto Wala wazee itakusanya maoni ya wote wanaotaka na wasiotaka. Hapa naamini hata wanaccm watatoa maoni badala yakiwaweka kwenye uongozi ukiamini umepata ushiriki wao kumbe umeweka jina tu lisilo na kazi kwa sababu hakuna mwenye utashi wakusaliti msimamo wa chama na kubeba msimamo binafsi wakitaifa.
Kuhusu sekretariet pia mnatakiwa kupata watu huru watakaofanya desk revieq na kuchakata maoni bila biasness.
Naamini kwa mchango huu mtakuwa mmepata jipya lakuongoze na kupunguza. Hii rasimu ni muhimu sana
Next time nitakuja na maoni yangu kuhusu maeneo nyeti ya katiba yanayohitaji uangalizi mkubwa.
Finally akaja na space na nikiri Kwa watu wanaopenda kujifunza na ambao siasa za vyama siyo priority ukiingia space kupitia YouTube au tweeter na kusikiliza utagundua kwamba wapo Watanzania wenye maono makubwa na kwao Madaraka siyo kipaombele Bali wanahitaji Uhuru wa kujadiliana. Utabaini akili timamu nyingi hazipo serikalini zipo sekta binafsi, utabaini watu wanaomwamini MUNGU na wanaoishi MUNGU apendavyo siyo viongozi wala watawala bali watu wanaopata vipato vidogo vya haki kupitia akili, maarifa na ubunifu waliopewa na mwenyenzi MUNGU
Nirudi kwenye mchakato wa Sasa wa Kupata rasimu ya Katiba unaoendelea kwa Sasa. Nimeona Kwa awali wamepatika au kupigiwa Kuru watu 73, well and good. Waliopigiwa Kura wote Wana sifa ya kusaidia maoni na kujitolea lengo litimie. Ila niombe mfanye maboresho yafuatayo
1. Naomba mpate wawakilishi wa vyama vya siasa vinavyoamini kwenye katiba Mpya, Kila chama kitoe mjumbe mmoja. Vipo vyama kama CcM from the very beginning wao katiba Mpya siyo àgenda na hivyo tusijidanganye kwamba memba kutoka ccm atawakilisha msimamo wa chama bila chama kuridhia. Chagueni watu ambao wanakiri kwa dhati kwamba Tanzania inahitaji katiba Mpya. Naelewa hizo ni kura lakini kumbukeni na simamieni vigezo mlivyotoa,Mmesema atakayepigiwa kura awe ni yule ambaye anaamini nchi inahitaji Katiba Mpya. Jielize ni lini Nape, Kagasheki, na wengine wa aina hii wamewahi kutoka adharani wakasema wanahitaji katiba Mpya? Kwa kifupi watu Hawa ni vigumu kuwa wajumbe wa mchakato huu Kwa sababu pamoja na mawazo na misimamo Yao kuhusu katiba Bado wanaamini msimamo wa chama kuliko maslahi ya Taifa. Watu wa aina hii hata Chadema na ACT wapo,wao wanasikiliza mwenyekiti anasema Nini kitu ambacho kwenye katiba ya nchi uwezi kuwatumia watu wa aina hii lazima watakukwamisha Kwa sababu wataleta maoni ya katiba ya chama yawe maoni ya nchi
2. Mkitekeleza hoja ya kwanza mtakuwa tayari mmeondoa wana Chadema kwenye hiyo timu. Siyo afya na napinga chadema kuwa na wawakilishi wengi, awepo mmoja na siyo lazima atoke kwenye top ranks wa chama.
3. Tuwe na mwakilishi mmoja kutoka TLS kama wanaamini Katiba Mpya, LHRC na mashirika mengine yanayotetea haki za makundi Mbalimbali yanayoamini kwamba tunahitaji katiba Mpya
4. Tuwe na wawakilishi wawili mmoja mwanaume na mmoja mwanamke wanaowakilisha wazee
5. Tuwe na mwakilishi wa makundi maalulumu ,
6. Tuwe na mwakilishi wa viongozi wastaafu wakitaifa.
7. Mwakilishi wa vijana, wanahabari, diaspora wanaoamini tunataka katiba na wanaharakati mmojammoja kill kundi
8. Mwakilishi wa Kila Dini,
9. Wawakilishi wawe kutoka pande zote za Muungano.
10. Tuweke nafasi ya wajumbe waalikwa ambao watakuwa watu Wanaotoka kwenye katiba strong na jukumu lao nikushare expirience kuhusu operationalization za katiba kwao.wanaweza kuwa Watanzania au wageni.
Mkitumia makundi haya na mwengine kuomba kura itawasaidi zaidi kwamba kwenye kila kundi atakayepata kura nyingi ndiye anakuwa mwakilishi wa kundi husika.
Then hii kamati au timu kwenye kukusanya maoni ndipo sasa itakwenda kila kona ya nchi kukusanya maoni, haitabagua Wana CCM wala chadema wala wakiristo wala waislam Wala watoto Wala wazee itakusanya maoni ya wote wanaotaka na wasiotaka. Hapa naamini hata wanaccm watatoa maoni badala yakiwaweka kwenye uongozi ukiamini umepata ushiriki wao kumbe umeweka jina tu lisilo na kazi kwa sababu hakuna mwenye utashi wakusaliti msimamo wa chama na kubeba msimamo binafsi wakitaifa.
Kuhusu sekretariet pia mnatakiwa kupata watu huru watakaofanya desk revieq na kuchakata maoni bila biasness.
Naamini kwa mchango huu mtakuwa mmepata jipya lakuongoze na kupunguza. Hii rasimu ni muhimu sana
Next time nitakuja na maoni yangu kuhusu maeneo nyeti ya katiba yanayohitaji uangalizi mkubwa.