Marekani yamkamata alievujisha taarifa za siri za kijasusi

Hizi no fikra zako, lakini hata hapa nchini wqpo vijana qenye umri huo na wapo ktk nafasi nyeti. Kama haujui haujui tu.
Tutajia waziri yoyote under 25yrs hapa Tz au katibu wa wizara wa umri huo au mkrugenzi wa tasisi yote ya serikali ambao iko umri huo.......watanzani tunachelwa ku-mature inachjkua miaka kati ya 30 hadi 40 kijana watanzani kua serious na maisha.
 
Hizi no fikra zako, lakini hata hapa nchini wqpo vijana qenye umri huo na wapo ktk nafasi nyeti. Kama haujui haujui tu.
Miaka 21 .. mfumo wetu unakuchomoa moja kwa moja kwenye sehemu nyingi nyeti.. kama anasoma kwenye mfumo ndio kwanza anamalizia chuo au yupo chuo na kama kaonekana wa maana anakuwa chini ya uangalizi macho ya eagle yanamtazama
 
Huku kwetu vijana wasomi wamepanga kuandamana kumpongeza Rais kwa kutangazwa ajira za walimu kama kwamba ajira ni hisani ya Rais kwao na siyo haki yao.
Akili za magraduate wa Tanzania hazina tofauti sana na wasio graduate hata kiingereza wote hawajui wanatwaga kiswahili na kuenda mbele, graduate unapongeza raisi kwa kutoa ajira za umma hata hujui haki zako kama raia.
 
Na nyinyi mna amini maigizo haya ya vyombo vya usalama vya Merikani - hakuna cha uvujaji wa siri zo zozote hizo ni mbinu za kutafuta sababu za kusitisha msaada wa vita kwa Zelensky wamekwisha ona jeshi la Ukraine likisaidiwa na vikozi kutoka Merikani na Uingereza hawawezi kushinda vita hii ndio maana wakabuni mbinu za kutokea kwa kuwasingizia vijana wadogo wanao cheza games za computer - vijana hao wana uwezo gani wa kun hack top Govt military secretes - how?
 
Na nyinyi mna amini maigizo haya ya vyombo vya usalama vya Merikani - hakuna cha uvujaji wa siri zo zozote hizo ni mbinu za kutafuta sababu za kusitisha msaada wa vita kwa Zelensky wamekwisha ona jeshi la Ukraine likisaidiwa na vikozi kutoka Merikani na Uingereza hawawezi kushinda vita hii ndio maana wakabuni mbinu za kutokea kwa kuwasingizia vijana wadogo wanao cheza games za computer - vijana hao wana uwezo gani wa kun hack top Govt military secretes - how?
Wanatafuta pakutokea ili wasipate aibu
 
Nafahamu na wakati huo wewe ni machinga wa huko namtumbo ndani ndani
Tutaibomoa na itabaki vipande vipande
IMG_20230414_010108.jpg


Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Hii ni mind game tu, kwa atakaye ingi kichwa kichwa ndo inakula kwake.

USA ni bingwa sana wa kitu kinaitwa "HIGH BUDGETED PROPAGANDA".....Nina uhakika hizo ni mbinu za kijasusi tu RUSSIA asije akanasa hapo lazima kuna ishu wameitarget.

Hizo classified documents haziwezi kusambaa kiwepesi namna hiyo "NEVER"

Kiongozi wa CIA tu aliwahi kumjibu kiongozi wa FBI wakati anataka wawe wanashare info bungeni, alimwambia kuna taarifa ambazo hata raisi tu wa nchi hawezi kuzijua wala hao FBI halafu eti hizo taarifa za Pentagon zisambae kiwepesi hivyo.

Big NO.

Hao jamaa wapo smart kuliko hata tunavyo fikria ila usipokuwa makini na hizi PROPAGANDA hususani za Media, USA wanakupiga za uso mapema sana, hao jamaa ndo michezo yao.

Kuna mkubwa mwenzao wamemtarget hapo, ashoboke na hizo info aingie kwenye 18.
Halafu huyo dogo eti kaajiriwa 2019,awe ana access na Classified docs kirahisi hivyo bado napata maswali
 
Back
Top Bottom