Upepo wa Pesa
JF-Expert Member
- Aug 8, 2015
- 21,265
- 34,235
Mrusi nomaUmejaza maneno yako meeengi yasiyo na msingi
Mrusi nomaUmejaza maneno yako meeengi yasiyo na msingi
Hili siyo wazo la mtoto wa kiume yaani unafurahi kudekezwa na wanaume wenzio tena wa taifa jingine? Wewe utakuwa tayari washakufanya ubwabwa.Afungwe maisha huyo...
Naipenda U.S.A sababu sisi weusi walau tunathaminiwa tunapozamia huko hadi ajira tunapa....haya wahuni wa upande mwingine ruksa kutoa povu 🤠🤠
Aisee! Itakuwa vizuri kufuatilia response za Urusi zile zilizotoka immediately kufuatia hiyo taarifa kusambaa. Huyo mchambuzi anaweza kuwa anayoyajua kuhusu CCC intelligence!TAHADHARI.
si rahisi taarifa kuvuja kiasia hiki
HUU NI MPANGO WA MAREKANI NIMEMSIKIA MCHAMBUZI WA MASWALA YA KIDIPLOMASIA WA KUTOKA UINGEREZA AKISEMA MAREKANI ANAJARIBU KULISHA TAARIFA ZA UONGO KWA DUNIA
KUNA MPANGO WANAUPANGA NA TUTAKUJA KUONA MATOKEO BAADA YA MUDA
-ALISEMA KUWA MAREKANI ANAJARIBU KUTULISHA FALSE INFO
IT WAS ALL PLANNED
Nafahamu na wakati huo wewe ni machinga wa huko namtumbo ndani ndani 😂😂😂
Na nafahamu wakati unaandika hii post umondani ya chandarua ulichopewa msaada na U.S.Aids 😅😅😅 na pia dadaako anatumia dozi ambayo wafadhiri wakuu ni U.S.A ....cry more little fool🤣🤣Hili siyo wazo la mtoto wa kiume yaani unafurahi kudekezwa na wanaume wenzio tena wa taifa jingine? Wewe utakuwa tayari washakufanya ubwabwa.
Kwa hiyo ulivyokatwa govi Kwa msaada wa BILL AND MELLINDA GATES FOUNDATION unadhani Kila mtu yupo kama wewe? Naona hata uwezo wakufikir umeisha na huenda umeaminishwa kuwa hata hewa ya oxygen unayovuta ni Kwa hisani ya US hata ukijamba ni Kwa hisani ya watu wa US sasa mtu wa US akikuomba ushuzi utagoma?Na nafahamu wakati unaandika hii post umondani ya chandarua ulichopewa msaada na U.S.Aids 😅😅😅 na pia dadaako anatumia dozi ambayo wafadhiri wakuu ni U.S.A ....cry more little fool🤣🤣
Pole yako kama unandoto za Afrika kukwepa misaada inabidi upimwe mkojo, maana ata mamaako ssa anasema lazima mkope IMF na WBKwa hiyo ulivyokatwa govi Kwa msaada wa BILL AND MELLINDA GATES FOUNDATION unadhani Kila mtu yupo kama wewe? Naona hata uwezo wakufikir umeisha na huenda umeaminishwa kuwa hata hewa ya oxygen unayovuta ni Kwa hisani ya US hata ukijamba ni Kwa hisani ya watu wa US sasa mtu wa US akikuomba ushuzi utagoma?
Kijana wa kitanzania wa imri huo 21 anawaza papuchi tu, atakuuliza kuna pisi kali uko.Duuh huko Marekani kijana wa miaka 21 tayari anauwezo wa Kuvujisha siri za nchi tena zinazogusa Dunia....lakini huku kwetu kijana wa miaka 21. Duuuh!
Anawaza kuibetia utopolo jumapiliDuuh huko Marekani kijana wa miaka 21 tayari anauwezo wa Kuvujisha siri za nchi tena zinazogusa Dunia....lakini huku kwetu kijana wa miaka 21..... Duuuh.......