Marekani: NBA yaondoa sheria ya kuzuia matumizi ya bangi kwa wachezaji

JanguKamaJangu

JF-Expert Member
Feb 7, 2022
2,309
5,464
Uongozi unaosimamia Ligi ya Kikapu ya NBA umeboresha sera zake kuhusu matumizi ya bangi kwa kuiondoa katika kipengele cha madawa yanayozuiwa kwa wachezaji.

Hivyo, wachezaji wa NBA hawatafanyiwa vipimo kwa muda wa miaka saba kutokana na mkataba uliosainiwa na Collective Bargaining Agreement (CBA).

Mwaka 2022, nyota wa Timu ya Phoenix Suns, Kevin Durant alinukuliwa akiweka wazi kuwa alianza kuvuta bangi akiwa na umri wa miaka 22 na imemsaidia kuweka akili yake sawa na anapoitumia ni kama anakunywa mvinyo.

Kevin Durant.jpg

=============

NBA lifts ban on marijuana for players in new CBA

NBA has updated its policy regarding marijuana use by players, removing it from the anti-drug testing program. This aligns with the trend toward the decriminalization and legalization of marijuana in many parts of the world.

NBA players will no longer be prohibited from marijuana under the new seven-year Collective Bargaining Agreement (CBA), according to Shams Charania of The Athletic.

It's been removed from the anti-drug testing program, a process that began during the 2019-20 season.

For instance, UFC announced in 2021 that they would no longer be punishing fighters over positive marijuana tests.

This NBA campaign is the third straight season where the league has suspended random marijuana testing. It was first paused in the Disney bubble.

During last year's interview with David Letterman, current Phoenix Suns superstar Kevin Durant revealed that he started to smoke weed when he was 22 years old, and that helps him to clear his mind, especially during very stressful moments.

"For me, it's like having a glass of wine," Durant said at the time.

Source: Basketnews
 
Huwa najiulizaga kwenye mashindano ya CAF kama huwa kuna vipimo vyovyote vya utumiaji wa bangi au madawa ya kuongeza nguvu.
 
Back
Top Bottom