Marekani: Msichana mweusi apigwa risasi

Marekani: Msichana mweusi apigwa risasi

Hivi kwani lazima umpige risasi za juu

Huyo angepigwa risasi za miguu sidhani Kama angekufa
 
SIO KILA ANAYECHOMWA KISU ANAKUFA.
Ila huyo kapigwa RISASI KAFA.
Ok, bye!

 
Kuna agenda ya siri ambayo watu weusi wamebebeshwa bila wao kujua, Tatizo kubwa la jamii ya watu weusi ni uchumi, na asili wanapotoka kuna mali nyingi ila hawazitumii kwa ajili ya manufaa ya nchi zao bali kwa ajili ya viongozi na familia zao. Africa isipokua na uchumi wenye nguvu waafrica popote wataathirika kiuchumi.
Msichana aliyepigwa risasi kamera inaonyesha alikua anachoma watu wengine visu tena mbele ya police huyu na sawa na jambazi na gaidi, Police alifanya kazi Nzuri ya kuokoa roho za watu wasio na hatia ni ujasiki wakupongezwa.
 
Hata kama aliyeuwawa alikuwa kashika kisu bado sio sababu ya kummiminia risasi nne, hoja ilikuwa kum-neutralise aidha au kwa kushoot not to kill. And one round was good enough to neutralise her.
Polisi alipima hayo yote, mwenye kisu alikua karibu sana kwa risasi moja isingeweza kumzuia kufanya uhalifu wake, lengo number moja ni kuokoa roho zisizo na hatia.
 
Hata kama aliyeuwawa alikuwa kashika kisu bado sio sababu ya kummiminia risasi nne, hoja ilikuwa kum-neutralise aidha au kwa kushoot not to kill. And one round was good enough to neutralise her.
Polisi alipima hayo yote, mwenye kisu alikua karibu sana kwa risasi moja isingeweza kumzuia kufanya uhalifu wake, lengo number moja ni kuokoa roho zisizo na hatia.
 
Hata kama aliyeuwawa alikuwa kashika kisu bado sio sababu ya kummiminia risasi nne, hoja ilikuwa kum-neutralise aidha au kwa kushoot not to kill. And one round was good enough to neutralise her.
Polisi alipima hayo yote, mwenye kisu alikua karibu sana kwa risasi moja isingeweza kumzuia kufanya uhalifu wake, lengo number moja ni kuokoa roho zisizo na hatia.
 
Subiri siku kisu kikiwa karibu kuzama tumboni ndio utaelewa. Kwa sasa endelea ku comment JF
Neno subiri lifute kwenye akili yako.
yote kwa yote, hawakupaswa kufanya walichofanya, kwa mtu aliyeshika kisu risasi moja tu inatosha kumpunguza makali.
 
Alichofanya askari na alichokuwa anataka kufanya Dada mwenye kisu hakuna tofauti...huwezi kuokoa maisha ya mtu mmoja kwa kuua mtu mmoja.
Polisi alichofanya ni sawa kwani aliondoa mwovu
 
Hawa askari wa marekani huwa wanakuwa na Teaser pia, binti mdogo huyo na kakisu kakumenyea matunda ndiyo umchape risasi 4 kweli? Nashawishika kuwa rangi ya suspect imechangia pakubwa sana pia.
 
Watu weusi wanasumbua sana america kiukweli na watakufa sana mpka wapaone pachungu
 
Matukio kama haya, sipati picha yatokee nchi za kiarabu weh though hayawezi kutokea, ila kwa mabeberu tu.
Waarabu inaeleweka mtu mweusi hana nafasi zaidi ya kuwa kijakazi wa ndani tofauti na america weusi wana nafasi ya kuwa wananchi halali kama weupe
 
TIZAMA VIDEO KWA UMAKINI

BILA OFISA HUYU KUFANTA HIVI, MTU ANGEKUWA ASHAPOTEZA MAISHA,

TUTAFAKARI,

Kwa angle aliyokuwa amekaa huyo polisi basi angemshona risasi moja tu japo ya tako, ilikuwa inatosha kumpunguza makali. Silaha iliyotumika ni pistol, na umbali si zaidi ya mita 10...
 
Unazani usumbufu wa uku ni mdogo si unaona matukio ya ajabu kila kukicha tuje kwenye ukweli tu watu weusi hatuna ustaarabu hata kidogo waroho wanyimi wabinafsi na wakatili
Sasa mbona hakuna mauaji ya polisi hata kwa kiwango kama hicho cha Marekani? maana huko polisi anaweza kukusimamisha tu njiani mara ghafla anaanza kukufyatulia risasi, kitu ambacho matukio kama hayo hatuna huku japokuwa ndio weusi tulipojaa.
 
Ni kweli wanaweza kuwa wanaonewa lakini kwa upande mwingine inaweza kuwa ni Genetic yao ya Ki-Africa ndiyo inawasumbua hawa jamaa.

Yaani ni sawa na kuku wa kienyeji ukamfugie kwenye banda safi la kisasa !! atasumbua tu atataka kuparura parua nje. Hawa ndugu zetu wana matitizo- ukweli tuuseme bila kuficha - too violent..

Hawa wanatakiwa warudi kwao - warudi Africa tuna maeneo ya kutosha tuwatafute eneo liwe recognised kama nchi waishi wenyewe huko siyo !! Home is Home - si dhambi kusema "Going back to the root.."
 
Mkuu kwahiyo ulitaka aachiwe amchome mwenzie kisu?
Angeweza kutumia taser ku neutralize situation na wangefanikiwa ila wametumia excessive and violent force kumtia risasi nne. Anyway wacha mahakama ifanye yake sisi wengine ni watazamaji tu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom