Mtangoo
JF-Expert Member
- Oct 25, 2012
- 6,165
- 5,621
Najua. Ninachosema mbona hawalisemi hilo? Ukisoma link nimeitupia hapo utajua kuwa CNN ni propaganda machine. Boss wao alirekodiwa kwa siri akisema hayo siyo mimi.Aliyepona ni mdada, black. Clip ya CNN imeonyesha hilo
Na alisema pia kuhusu hii ya race. Unfortunately Watanzania hatuna kawaida ya kutafiti. Kila kitu tunakichukulia kama wale wadada wanaosutana. Ndio maana CNN wametukamata. CNN ni takataka na sio chombo cha habari