Wakati naandika ile comment nilikua sijaiangalia video.
Nimeandika tu nikaenda kucheki video.
Caller ameripoti kuna watu wanatishia kuchoma visu watu wengine, askari anashuka tu kwenye gari (hata hakupata muda wa kutoa onyo) kuna binti anakula mweleka mpaka nguo inapanda juu, kisha kuna jamaa anampiga teke huyu binti aliyeanguka.
Video ikawa inaenda kwa slow motion. Na kwa angle iliyochukuliwa inaonyesha huyu jamaa anarusha teke at the same time binti mwenye kisu ndiyo anampelekea kisu mwenzake mwilini. Mhanga wa kisu nyuma yake amezuiwa na gari so kurudi nyuma kusingemsaidia.
Majirani na wakazi wa eneo hilo wanaamini askari ana makosa.