sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,406
- 19,361
TIZAMA VIDEO KWA UMAKINI
BILA OFISA HUYU KUFANTA HIVI, MTU ANGEKUWA ASHAPOTEZA MAISHA,
TUTAFAKARI,
BILA OFISA HUYU KUFANTA HIVI, MTU ANGEKUWA ASHAPOTEZA MAISHA,
TUTAFAKARI,
Lengo ni kum disable asiue hata kumi kama hazijatimiza lengo sio nyingi. Mfano unataka mwizi asiweze kukimbia risasi tisa zimepiga vidoleni na bado anaendelea kukimbia, ya kumi ya pajani sio excessive.Ila risasi nne siyo nyingi kweli kwa mtu mwenye kisu?
Polisi anahitaji pongeziwalikuwa sahihi, tatizo marekani bange unga sigara na ujuaji mwingi.
Subiri siku kisu kikiwa karibu kuzama tumboni ndio utaelewa. Kwa sasa endelea ku comment JFHata kama aliyeuwawa alikuwa kashika kisu bado sio sababu ya kummiminia risasi nne, hoja ilikuwa kum-neutralise aidha au kwa kushoot not to kill. And one round was good enough to neutralise her.
Kuna video iko released. Kaiangalie acha kuwa opinionated kama CNN.Hapa ndipo kosa lilipo tokea ilabid ampige risasi angalau asizidishe tatu. Lakin risasi nne itaonekana kama vile na ww asikari ulikuwa umezamilia kuua
Alishindwa kutumia Taser? Au she deserved a bullet?Mbona taarifa vague hivyo. Achana na propaganda za CNN. Alikuwa anakwenda kumdunga kisu mdsda mwenzie ndio askari akamchapa risasi ili kuokoa maisha ya mdada mwenzake.
Mbona hatuambiwi rangi wala jinsia ya yule dada ambaye pona yake ilikuwa uwepo wa huyo askari?
Clown News Network!
Unaona umbali aliopo? Angeitumiaje?Alishindwa kutumia Taser? Au she deserved a bullet?
ebu itupie humu tuioneKuna video iko released. Kaiangalie acha kuwa opinionated kama CNN.
Kwa hiyo umbali huo taser hazifanyi kazi? Kwa kuangalia kwako huo umbali ni zaidi ya 40 feet?Unaona umbali aliopo? Angeitumiaje?
Naona watu mnajaribu kuangalia kifo cha marehemu mnasahau huyo mwingine pia alikuwa anaelekea kufa. Nadhani wengi mlitamani bora afe huyo mwingine lakini askari ambembeleze mtenda jinai.
Tukio liko justified kisheria na kibinadamu.
Nimeshafanya sehemu yangu kuonesha bias ya CNN. Sasa kila mtu ale urefu wa kamba yake. Uvivu ni dhambi...ebu itupie humu tuione
Unaongelea ku bet na maisha ya mtu. Taser sio effective kama risasi. Ulishawahi kuwa cornered na ukiwa na sekunde za kuishi? Ukiishajua hili ndio utajua kwenye point hiyo kitu pekee utakachofanya ni kile una uhakika nacho asilimia mia.Kwa hiyo umbali huo taser hazifanyi kazi?
Police officers wanapitia training kwa hiyo usinifananishe nao. Taser ina 50,000 volts cycle ya sekunde 5 ilimtosha kabisa huyo binti wa miaka 16 kuzima.Unaongelea ku bet na maisha ya mtu. Taser sio effective kama risasi. Ulishawahi kuwa cornered na ukiwa na sekunde za kuishi? Ukiishajua hili ndio utajua kwenye point hiyo kitu pekee utakachofanya ni kile una uhakika nacho asilimia mia.
Wakati naandika ile comment nilikua sijaiangalia video.Lengo ni kum disable asiue hata kumi kama hazijatimiza lengo sio nyingi. Mfano unataka mwizi asiweze kukimbia risasi tisa zimepiga vidoleni na bado anaendelea kukimbia, ya kumi ya pajani sio excessive.
Marekani ukitishia usalama unakufa simple yani. Askari akisema tupa kisu mikono juu, usijaribu kufanya vinginevyo. We tii tu kama unataka kuishi
Nguvu inayotumika kwa mtu mweusi ni tofauti na mtu mweupeHivi ukisema binti auwawa kwa kupigwa risasi haitoshi mpaka utaje race yake? Watu weusi tunajibagua wenyewe. Kwahiyo hao watu weusi wavunje sheria bila kuchukuliwa hatua?