View attachment 1760058
Msichana wa miaka 16 amefariki dunia baada ya kupigwa risasi na Polisi wa Colombus, Jimbo la Ohio kutokana na kile kilichodaiwa kuwa alishika kisu kuwadhuru Wasichana wengine
Ma’Khia Bryant amepigwa risasi nne kwa milio iliyosikika kwenye video inayomuonesha Msichana huyo akiwa na kisu. Hata hivyo, tukio lililokuwa likiendelea halipo dhahiri
Polisi aliyefanya tukio hilo ni Nicholas Reardon ambaye aliajiriwa mwaka 2019
====
Columbus, Ohio, officials released additional body camera video on Wednesday of a police officer fatally shooting a Black teen who charged two females with a knife.
edition.cnn.com