Marejesho ndani Serena Dar..... Valentine Day....!!!!!!!

Marejesho ndani Serena Dar..... Valentine Day....!!!!!!!

Nimetoa ufafanuzi wa kwanini hilo neno nimeandika, sioni tija wala mantiki ya nyie kulikazania huku nikiwa nimetoa ufafanuzi tayali...
Ulisema wewe ni ME. Leo unataka hubby wa kukuliwaza? Au wewe ni ndugu yake Boflo?
 
Last edited by a moderator:
Najishangaa why haujanialika. Unanificha nini baba mzazi?
Mama yuko mbioni kukutaliki aisee
Duh, hawa mabinti watanivunjia ndoa..
Mbona mmesahau kumtaja mama Ngina kuwa na yeye yuko hapa.....
King'asti akiona hii maneno lazima atajifanya FBI,
 
Last edited by a moderator:
Mtambuzi haukunialika nikawa mgeni rasmi
loh hiyo roho mbaya umeianzaje?

Mzima lakini? Hao warembo si ulikoma nao.

Duh, hawa mabinti watanivunjia ndoa..
Mbona mmesahau kumtaja mama Ngina kuwa na yeye yuko hapa.....
King'asti akiona hii maneno lazima atajifanya FBI,
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom