Marejesho ndani Serena Dar..... Valentine Day....!!!!!!!

Marejesho ndani Serena Dar..... Valentine Day....!!!!!!!

Ukarimu na Ucheshi wa Jf Chit Chat ulinifanye nijiunge na Jamii Forum, nilikua na peruzi kwa kutumia ID ya mfanyakazi mwenzangu yupo humu humu Chit Chat, ila sasa ivi yeye kajitoa kwa mda kwa ajili ya majukumu ya kiofisi mda mwingi anakua nje ya mtandao, ndio maana haijawa shida mie kuzoe mazingira ya humu jamvini.
naomba kukuuliza swai wewe umejiunga juzi tu umesha pajua leo tupo hapa pub?? kwa siku tatu na post zako 50 umesha make friends na kuwa mwenyeji kiasi hiki?? samahan kama ntakuudhi mpendwa
 
naomba kukuuliza swai wewe umejiunga juzi tu umesha pajua leo tupo hapa pub?? kwa siku tatu na post zako 50 umesha make friends na kuwa mwenyeji kiasi hiki?? samahan kama ntakuudhi mpendwa

Shikamoo dada mkubwa... Happy Valentine... Kiukweli hata mie kanichanganya kama sio kunimix.. Kuna mahali kaandika "Nikija hapo (yaan serena) nitapata hubby wa kuniliwaza"

Mie nikamjibu "Wote waume za watu bidada".... Mwee kidogo anitoe majicho.....
Hivi nini maana ya neno "hubby"????
 
ah ah ah...!
Hawa baada ya kutoka serena naona wameludi makwao, hapa kwa Mjeda nimetoka kama dk 15 zilizopita hawapo

Duh!

Basi nabana viwanja hivi niliko...nilitegemea Gfsonwin ningemkuta huko.ha ha ha.First Lady yeye najua ashasepa
 
NAONA UNAVUKA MIPAKA SASA, NIMEKUELEWESHA KWANINI NILILIANDIKA, ILA BADO UNAKOMALIA. ujawai kuona mtu anaandika kitu au neno kutokana kulisikia wakati anaandika? Pls nakuomba uondoe iyo post hapo tena uliyo ikoleza rangi, na hii ambayo nai quote..
Mh...mh.... mh.... Inawezekana kweli?????? Mwanaume atake mme wa kumliwaza????
Anyway nimekuelewa......
 
Back
Top Bottom