Marejesho ndani Serena Dar..... Valentine Day....!!!!!!!

Marejesho ndani Serena Dar..... Valentine Day....!!!!!!!

Pande za Mwanza kuna special valentine event ina happen maeneo flan hivi. Ni full ku enjoy...
 
So sad... Haya.mwaya enjoy... ama kweli fimbo ya mbali haiui nyoka!!!

im-sad-smiley.png


shida ni nii tena my love....umesahau nafasi uliyonayo moyoni mwangu?
 
Watu wa R Chuga mtanunaje....
Hapa tuko mimi, marejesho, Paloma, Lusile, Vivianna, cacico, Na Mzee wa Ku-Party Mtambuzi, warembo tuna glass za Champagne na maua mekundu, Kwa raha zetu....

Mzee Mtambuzi anamwaga stori zake za kufumaniwa na vituko vya uswahilini, yaani tunacheka hadi watu wanatushangaa.......

Wapi Madam B, gfsonwin, mwaJ, Swts, Nyamayao, Erickb52, Filipo, Mungi, Don Mangi, Arushaone, Asprin, Ruttashobolwa, Fidel80, amu, snowhite, kipaji halisi, watu8, Mamndenyi, MadameX, Lisa, nivea, King'asti... Hebu njooni pande hii tusongeshe......

Tena afadhali yako hujanitaja, ungenikoma Jeska , mambo yenu mwafanya kimyakimya ka wachawi..!!??
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom