Marejesho ndani Serena Dar..... Valentine Day....!!!!!!!

Marejesho ndani Serena Dar..... Valentine Day....!!!!!!!

Mimi na my valentine YNNAH tunaparty hapa Ngurdoto Mountain Lodge! Enjoy your time guys!

Hebu nijilie vyangu mia japo kwa siku moja. Na hivi wakezo wanajua upo na mimi siku ya leo, hata ukizima simu sawa tu.
 
Last edited by a moderator:
Hello Jeska enjoy yourselves! Mimi valentine wangu ameenda kuonana na valentine wake!
 
Last edited by a moderator:
Mtambuzi ! mmeondoka hapo Serena? Kama hamna mda mrefu naomba mnielekeze kwa mjeda
 
Last edited by a moderator:
Dah..Haya bana mu enjoy..Mimi nitajiunga na CHADEMA family tukafanye usafi mwananyamala hospital..jirani tu na kwa mjeda hapo
 
Heri ya Siku ya Wapendanao...pokea salamu hiyo ukiwa kama mmoja wa wapendwa zangu.

Hello Jeska enjoy yourselves! Mimi valentine wangu ameenda kuonana na valentine wake!
 
Last edited by a moderator:
Duh¡ mmeniuza nyie binadamu aisee hasa Mtambuzi nimepita kote sijawaona lol! na sasa ivi ndio natoka hapa kwa Leo tupo hapa pub
 
Last edited by a moderator:
Duh¡ mmeniuza nyie binadamu aisee hasa Mtambuzi nimepita kote sijawaona lol! na sasa ivi ndio natoka hapa kwa Leo tupo hapa pub

naomba kukuuliza swai wewe umejiunga juzi tu umesha pajua leo tupo hapa pub?? kwa siku tatu na post zako 50 umesha make friends na kuwa mwenyeji kiasi hiki?? samahan kama ntakuudhi mpendwa
 
Back
Top Bottom