Marando na watuhumiwa wa ufisadi

Marando na Dr Slaa wote ni CDM na kila siku wanasimama kwenye majukwaa ya siasa wanapinga Ufisadi.
Tukija kwenye suala la EPA Dr Slaa, anawatambua Mafisadi kina Jeetu Pater, Marando hawatambui?
Hii kweli sinema ya kihindi

ukisikia sheria ni msimeno ndio hiyo ishu sasa..
 
Kwa sasa anatetea vidagaa unataka kuniambia akipata nafasi ya kutetea visamaki ataacha? Pili km watuhumiwa wanababikiwa kesi unataka kutuambia Chadema wanawaongea watu?

Nadhani tatizo ni kufanya kazi mbili zenye maslahi yanayoingiliana
Je ni kweli kwamba watuhumiwa wa ufisadi hutetewa na mawakili wanaopenda ufisadi?
Je ni kweli kwamba wakili mpinga ufisadi anakosa haki ya kutetea watuhumiwa wa ufisadi?

Mimi nafikiri yeye anatakiwa kupima mwenyewe kulingana na athari za mwingiliano huo katika jamii ya kitanzania
 
MARANDO ANATAKA APROVE KWAMBA wale ni vijidagaa Wahusika WaPO
Kwani vijidagaa sio wahusika?? Samaki ni samaki kundi lao moja. KWA NINI AWATETETEE WALE AMBAO WAMESHITAKIWA NA JAMHURI?? BABU SEYA, EPA CASE, MAHALU CASE KUNA NINI NYUMA YA PAZIA?
KILICHOMTOA NCCR MAGEUZI NA YEYE NDIYE MWANZILISHI WAKE NI NINI?
MWAKA 1995 ALIPATA KURA NYINGI SANA KUTOKA CCM KUWA MBUNGE WA BUNGE LA AFRIKA MASHARIKI UPANDE WA OPPOSITION. JAMII FORUM TUJIULIZE MASWALI MENGI SANA KUHUSU MABERE NYAUCHO MARANDO MZEE WA SHIRATI. KAMA TUNATAKA TUPATE MASWALI MAGUMU 2015 HAYA SIJUI ATAJIBU NANI.
 
wana JF wezangu si zani swala la kumcrash mtoa maada nijambo la kiungwana we soma alichoposting kama amekuboa we tulia, maswala haya ya kumcrash m2 et una thkng capacy ndogo hayo ni maneno yasio ya kistarabu
 
kwa uelewa wako ni <span style="font-family: &amp;quot">v</span>igumu sana kuweza kutambua professionalism and its ethical codes o<span style="font-family: &amp;quot">f</span> conduct ...... kazi ya wakili ni kumtetea mhali<span style="font-family: &amp;quot">f</span>u na sio kuhukumu yupi ni mhali<span style="font-family: &amp;quot">f</span>u na yupi si mhali<span style="font-family: &amp;quot">f</span>u .... kwani hii kazi ya wakili ni kutetea watu wasio na makosa? ... silly mind ! .... as well daktari jukumu lake ni kutoa tiba kwa mgonjwa pasipo kuangalia ameathirika <span style="font-family: &amp;quot">v</span>ipi na ugonjwa wake .... your thinking capacity is very low <br />
<br />
hata wewe ukifanya uhalifu sasa hivi ... katiba inasema you have the right for an attorney (legal representative ) na serikali pia ina jukumu la kugharamia wakili wa kukutetea<br />
<br />
kwa hiyo chadema na uongozi wote haioni hili na kukemea ni wewe tu mwenye narrow mind unaeona ?<br />
<br />
try to be analytical ....
<br />
<br />
Hv una uhahika na unachokidefend kwl? Au unaongea 2. Sheria tofaut kabisa na udaktar sbb hata kama Marando acipowatetea hao mafisad hawatokufa, watatafuta mafisad wenzao wakawatete. Hili swala la marando limekaa kiprofesional zaid na kwa maon yangu bora wanasheria wa jf ndo wangechangia zaid sbb wao ndo wanazijua ethic zao na kama kwl hl jambo limekaa kilegal ethic kwel. Na k2 kimoja nikukumbusha uckimbilie 2 kuwaambia wa2 wana narrow mind wakati we pia huna ukakika na ukisemacho.
 
Hivi ni wakina nani kati ya watuhumiwa Marando anawatetea?Hapa kuna aja ya kujiukilza saana kabla ya kumulaumu Marando maana inawezekana kabisa wale anaowatetea ni wale waliobabimikiwa kesi ndio maana kakomaa nao.Naomba mwenye majina kamili ya wale anaowatetea atuwekee hapa ili tujaribu kutafakari.Kwa uelewa wangu kuna watu wantolewa kafala kwenye hili maana majina makubwa hayafikishwi Mahakamani.
 
Hivi ni wakina nani kati ya watuhumiwa Marando anawatetea?Hapa kuna aja ya kujiukilza saana kabla ya kumulaumu Marando maana inawezekana kabisa wale anaowatetea ni wale waliobabimikiwa kesi ndio maana kakomaa nao.Naomba mwenye majina kamili ya wale anaowatetea atuwekee hapa ili tujaribu kutafakari.Kwa uelewa wangu kuna watu wantolewa kafala kwenye hili maana majina makubwa hayafikishwi Mahakamani.

Manji na mahalu ni mifano tosha, mahulu kesi inayomkabili ni ya ufisadi wa kutumia pesa za walipa kodi na kununua nyumba ya ubalozi nchini italia kwa bei ya juu kushinda thamani yake, km vile radar na meremeta ambapo bei zilizidishwa
 
wana JF wezangu si zani swala la kumcrash mtoa maada nijambo la kiungwana we soma alichoposting kama amekuboa we tulia, maswala haya ya kumcrash m2 et una thkng capacy ndogo hayo ni maneno yasio ya kistarabu
 
Haya ndio hunishinda mimi hata kuelewa.. Wewe ni mbunge mtunzi wa sheria bungeni kupambana na Mafisadi, kisha wewe tena ni mtetezi wa Mafisadi watuhumiwa mahakamani? - kaazi kweli kweli!
 
Hii hoja ya kipuuzi iliongelewa pia na mtu fulani anayetoka chama kinachojivua mananii wakati wa mdahalo. Alidhani ni hoja nzito ambayo ingewashtua watz na kumwona Mhe. Marando msaliti lakini hakuna kilichotokea zaidi ya kupuuzwa tu. Magamba hoyeeee!!!
 
Awatetee wanaosingiziwa ufisadi si mafisadi kwelikweli kama kina Rostam,Manji na wenzake.
 
Mimi nina kaswali kadogo tu kwa mtoa mada, je ni kosa kumtetea mtuhumiwa ? Kama jibu ni hapana, wewe ungetaka hao watuhumiwa watetewe na mawakili wa aina gani au wa chama gani ? Je, kama swala la ethics linazingatiwa katika kuwatetea watuhumiwa, unataka kusema kuwa wale mawakili wasio na ethics ndio wajitokeze kuwatetea ? Na kama ni hivyo hao mawakili wenye sifa za kukosa ethics ni mawakili wa namna gani na ni kama yupi kwa mfano hapa Tanzania.

Sasa wakili kama tayari anayo sifa ya kutokuwa na ethics, kwa nini na yeye asifunguliwe kesi na kama itakuwa hivyo yeye mwenyewe atatetewa na wakili wa aina gani ? Na mwisho hebu tupe mwanga kidogo tu, Marando ungependekeza awatetee wahalifu wa aina gani kwani uhalifu si ni uhalifu tu mbele ya sheria ? Labda mimi ni mzito na sio great thinker lakini kwa kawaida ninavyoelewa, kosa linavyozidi kuwa kubwa ndivyo wakili mashuhuri na makini zaidi anavyohitajika kutoa utetezi.

Je, kwa mfano tu, mtuhumiwa wa kosa kubwa kama la uuaji hastahili kutetewa na Marando kwa sababu Chadema inalaani mauaji ?
 
Kwa mwanasiasa, hii ni ethical issue(very important).

Chochote ambacho mwanasiasa inatakiwa afanye,lazima aangalie kama ni practical, legal au ethical.
Hii issue is both practical and legal but not ethical.
Kazi ya attorney ni kuhakikisha mtuhumiwa anapata fair trial kutokana na maelezo na ushahidi alio nao mtuhumiwa.Kazi yake si kumtetea, hapo mnakosea.
However, yeye kama mwanasiasa wa CDM, chama ambacho kiko very vocal when it comes to corruption, anachofanya ni unethical based on conflict of interest......which is very important kwenya demokrasia za maana,ila hapa bongo anaweza kupeta! (angalia tu washabiki wanavyomtetea).
 
  • Thanks
Reactions: SMU
Mimi nina kaswali kadogo tu kwa mtoa mada, je ni kosa kumtetea mtuhumiwa ?

Mimi si mwanzisha mada lakini nitajibu maswali yako. Hapana, kisheria si kosa.

Kama jibu ni hapana, wewe ungetaka hao watuhumiwa watetewe na mawakili wa aina gani au wa chama gani ?

Watetewe na mawakili ambao hawafungamani na chama chochote kile cha kisiasa au wasio makada ama viongozi wa juu wa vyama vya kisiasa.

Je, kama swala la ethics linazingatiwa katika kuwatetea watuhumiwa, unataka kusema kuwa wale mawakili wasio na ethics ndio wajitokeze kuwatetea ? Na kama ni hivyo hao mawakili wenye sifa za kukosa ethics ni mawakili wa namna gani na ni kama yupi kwa mfano hapa Tanzania.

Hoja hapa si miiko ya kitaaluma. Hoja ni muonekano mbele ya mahakama ya maoni ya watu na mamlaka ya kimaadili uliyonayo kuupinga ufisadi.
 
Kwa taaluma yangu ya Sheria,Marando yupo sahihi kwa vile there is the rule that the person is not guilty at untill his guilty have been proved so by competent court of law,na jua kuwa advocate kama Marando ni kinyume cha maadili ya uwakili kubagua wateja wake kwa misingi yeyote, Marando ni kama Daktari hawezi kubagua wagonjwa kwa kisingizio ni jambazi kama ulivyo udaktari ni sawa kabisa na Sheria you suppose not be bias.NDIO MAANA UTAKUTA WANASHERIA SIKU NYINGINE ANAMTETEA JAMBAZI SIKU YA PILI ANAWATETEA WATU WALIOPORWA NA KUDHURUMIWA na hawana cha kumlipa kwa sababu hiyo,

LA PILI tujue wale walioenda mahakamani ni vidagaa tuu hali mapapa na masangara yapo mitaani ya kikata mitaa hivyo bac haki haibagui lazima wote waliohusika wafikashwe mahakamani na wahukumiwe kwa stahili sawa,
 
  • Thanks
Reactions: LAT
Haya ndio hunishinda mimi hata kuelewa.. Wewe ni mbunge mtunzi wa sheria bungeni kupambana na Mafisadi, kisha wewe tena ni mtetezi wa Mafisadi watuhumiwa mahakamani? - kaazi kweli kweli!
<br />
<br />
hapa hakuna kisomo
 
Kwa taaluma yangu ya Sheria,Marando yupo sahihi kwa vile there is the rule that the person is not guilty at untill his guilty have been proved so by competent court of law,na jua kuwa advocate kama Marando ni kinyume cha maadili ya uwakili kubagua wateja wake kwa misingi yeyote, Marando ni kama Daktari hawezi kubagua wagonjwa kwa kisingizio ni jambazi kama ulivyo udaktari ni sawa kabisa na Sheria you suppose not be bias.NDIO MAANA UTAKUTA WANASHERIA SIKU NYINGINE ANAMTETEA JAMBAZI SIKU YA PILI ANAWATETEA WATU WALIOPORWA NA KUDHURUMIWA na hawana cha kumlipa kwa sababu hiyo,

LA PILI tujue wale walioenda mahakamani ni vidagaa tuu hali mapapa na masangara yapo mitaani ya kikata mitaa hivyo bac haki haibagui lazima wote waliohusika wafikashwe mahakamani na wahukumiwe kwa stahili sawa,

mkuu ... you have said it all .... thanks
 
Kwa taaluma yangu ya Sheria,Marando yupo sahihi kwa vile there is the rule that the person is not guilty at untill his guilty have been proved so by competent court of law,na jua kuwa advocate kama Marando ni kinyume cha maadili ya uwakili kubagua wateja wake kwa misingi yeyote, Marando ni kama Daktari hawezi kubagua wagonjwa kwa kisingizio ni jambazi kama ulivyo udaktari ni sawa kabisa na Sheria you suppose not be bias.NDIO MAANA UTAKUTA WANASHERIA SIKU NYINGINE ANAMTETEA JAMBAZI SIKU YA PILI ANAWATETEA WATU WALIOPORWA NA KUDHURUMIWA na hawana cha kumlipa kwa sababu hiyo,

LA PILI tujue wale walioenda mahakamani ni vidagaa tuu hali mapapa na masangara yapo mitaani ya kikata mitaa hivyo bac haki haibagui lazima wote waliohusika wafikashwe mahakamani na wahukumiwe kwa stahili sawa,

Hivi kuna waliosema kuwa Marando kavunja miiko ya taaluma yake?

Mimi nadhani wengi tunachosema kisiasa hiyo move yake ina sura ya kinafiki. Sasa unafiki si kosa. Ila politically he may pay for it and that's just how politics works.
 
Mimi si mwanzisha mada lakini nitajibu maswali yako. Hapana, kisheria si kosa.
Sawa mpaka hapo tunakubaliana.
Watetewe na mawakili ambao hawafungamani na chama chochote kile cha kisiasa au
Hao mawakili wasiofungamana na chama chama chochote ni akina nani na wanapatikana wapi hapa Tanzania.
na wasio makada ama viongozi wa juu wa vyama vya kisiasa.
Sijui una maana gani na neno makada, lakini nimepitia listi ya viongozi wa Chadema na sijaliona jina la Marando.
Hoja hapa si miiko ya kitaaluma.
Sawa sawa hakuna miiko yoyote ya kitaaluma (ethics) aliyovunja Marando. Sana sana kaweka ushabiki pembeni kuhakikisha sheria inachukua mkondo wake na hapa Marando yafaa apewe sifa.
Hoja ni muonekano mbele ya mahakama ya maoni ya watu na mamlaka ya kimaadili uliyonayo kuupinga ufisadi.
Swali ni je, ungependa kuona vibaka wakichomwa moto ? Lazima tuwe waangalifu sana tunapolitumia neno public opinion tusije tukawa tunaombea laws of the jungle. Kuna mtu kauliza, je mtuhumiwa wa mauaji asipate huduma ya daktari bingwa, mtuhumiwa wa ubakaji asipewe huduma yoyote na mtuhumiwa wa wizi asipewe ulinzi wa polisi. Wakili au jaji akiruhusu mahakama ya maoni ya watu kuzuia utoaji wa haki, huyo haswaa ndiye kakosa maadili ya kitaaluma. Je kwa hawa watuhumiwa kutetewa na Marando, kutazuia vipi kutendeka au kuonekana kutendewa kwa haki ?
 
Back
Top Bottom