Kwa taaluma yangu ya Sheria,Marando yupo sahihi kwa vile there is the rule that the person is not guilty at untill his guilty have been proved so by competent court of law,na jua kuwa advocate kama Marando ni kinyume cha maadili ya uwakili kubagua wateja wake kwa misingi yeyote, Marando ni kama Daktari hawezi kubagua wagonjwa kwa kisingizio ni jambazi kama ulivyo udaktari ni sawa kabisa na Sheria you suppose not be bias.NDIO MAANA UTAKUTA WANASHERIA SIKU NYINGINE ANAMTETEA JAMBAZI SIKU YA PILI ANAWATETEA WATU WALIOPORWA NA KUDHURUMIWA na hawana cha kumlipa kwa sababu hiyo,
LA PILI tujue wale walioenda mahakamani ni vidagaa tuu hali mapapa na masangara yapo mitaani ya kikata mitaa hivyo bac haki haibagui lazima wote waliohusika wafikashwe mahakamani na wahukumiwe kwa stahili sawa,