ipogolo
JF-Expert Member
- Aug 15, 2011
- 6,275
- 5,961
Huyu aliyeleta mada ,asiwe anatupetezea nafasi za kufikiria, je,police anavyomkamata mwizi amwache wananchi wamwue??? au atmlinda tena kwa karibu zaid ili wapate uthibtisho wa wizi wake , Tena inabidi daktari kuwa karibu sana na yule mwizi aliyeumizwa ili wapate ushaid na ijulikane hatima yake ni nini.[/QUOTE kwa hiyo marando angeitetea serikali ili ijulikane wanaoliibia taifa. mfano wako hapana. zero mark. Police amkamate mwizi halafu amtetee tena? umepata zero.