Ado Shaibu
Member
- Jul 3, 2010
- 99
- 111
To be honest ushiriki wa marando kama wakili wa kesi za watuhumiwa wa ufisadi limewachanganya wengi...mimi ni mwanafunzi wa sheria na nafahamu kwa ufasaha kabisa kwamba mtu hapaswi kuitwa mkosaji mpaka ithibitishwe (na mahakama) beyond reasonable doubts kwamba amekosa.
Albeit, katika siasa za ushindani, c kila jambo hutazamwa kwa utashi wa kisheria(mengine hutazamwa kwa utashi wa kisiasa).kwa mfano katika mdahalo kuhusu sera za vyama vya siasa uliorushwa STAR TV, mimi na wenzangu kadhaa tulirundikana mbele ya runinga tukisubiri hoja nzito kutoka kwa wakili mahili kutoka chama kinachovutia vijana wengi..hakuna aliyeiwaza CUF.
Hakuna aliyetarajia jipya kutoka CCM..Contrary to our expectation,jussa alimuacha marando mbali..moja ya hoja zilizombabaisha marando zat day ni hili suala la kuwatetea mafisadi.nakumbuka jibu lake kwa ufasaha(niko tayari kusahihishwa).."ninaowatetea mimi ni dagaa tu..watuhumiwa wakubwa hawafikishwi mahakamani.wanakiri kwamba wamechukua hela.wanaambiwa wazirejeshwe na kusamehewa''..
Ukitazama jibu la marando kwa kina(hasa kwa walio unbiased)ni kama vile mh.marando anakiri kwamba watuhumiwa anaowatetea ni mafisadi but they r petty..hii ina impact kubwa hasa kama watuhumiwa wale watapatikana na hatia!!!!katika vita ya ufisadi,haijalishi udogo au ukubwa wa fisadi.mpambanaji ni lazima ajidhihirishe kung'oa kila aina ya ufisadi.
Albeit, katika siasa za ushindani, c kila jambo hutazamwa kwa utashi wa kisheria(mengine hutazamwa kwa utashi wa kisiasa).kwa mfano katika mdahalo kuhusu sera za vyama vya siasa uliorushwa STAR TV, mimi na wenzangu kadhaa tulirundikana mbele ya runinga tukisubiri hoja nzito kutoka kwa wakili mahili kutoka chama kinachovutia vijana wengi..hakuna aliyeiwaza CUF.
Hakuna aliyetarajia jipya kutoka CCM..Contrary to our expectation,jussa alimuacha marando mbali..moja ya hoja zilizombabaisha marando zat day ni hili suala la kuwatetea mafisadi.nakumbuka jibu lake kwa ufasaha(niko tayari kusahihishwa).."ninaowatetea mimi ni dagaa tu..watuhumiwa wakubwa hawafikishwi mahakamani.wanakiri kwamba wamechukua hela.wanaambiwa wazirejeshwe na kusamehewa''..
Ukitazama jibu la marando kwa kina(hasa kwa walio unbiased)ni kama vile mh.marando anakiri kwamba watuhumiwa anaowatetea ni mafisadi but they r petty..hii ina impact kubwa hasa kama watuhumiwa wale watapatikana na hatia!!!!katika vita ya ufisadi,haijalishi udogo au ukubwa wa fisadi.mpambanaji ni lazima ajidhihirishe kung'oa kila aina ya ufisadi.