Stroke
JF-Expert Member
- Feb 17, 2012
- 38,642
- 49,068
Hivi hujiulizi raisi wa nchi mwenye mamlaka ya kuagiza karibu kila kitu anashindwa kumshitaki Marando?
Nasema hivi kwasababu najua hawatathubutu kumshitaki.
sijawahi kuona mwenye akili timamu akajibizana na kichaa, zaidi sana ukifanya hivyo utaonekana wewe ndio kichaa