Marando: Kikwete mtuhumiwa Escrow

Marando: Kikwete mtuhumiwa Escrow

W. J Malecela naona unajitahidi kutetea ili ukumbukwe kama Anna Kilango alivyotetea mjengoni! Tatizo akili yako ndogo sana at your 60, sijui unafaa kuwekwa wapi hata ukikumbukwa!?

Mbona watoto wa mawaziri wakuu wengine wametulia, ww kazi kujiresi kila mara!?
 
- Mara anasema kwa uhakika mara ameambiwa mara taarifa zinasema, zile zile habari za kawaida za Kubenea toka alipoamua kujiunga na kundi linalomchukia Rais kazi kuandika uchonganishi na uzushi kama huu wa kitoto kabisa ila kwa vile kuna wanaoamini wanaweza kutumia uzushi huu kushika Ikulu basi ngoja wajipe moyo, hii habari ni ya kupikwa pikwa ndio maana haina uhakika mkajipange tena!!

Le Mutuz

Kikwete ndiye escrow full stop
 
kubenea hiyo habari ipo mawio la kesho au?
 
Tukubali tukatae, jk na ikulu wanahusika na sakata la escrow 100%. Kikohozi kilichotolewa na jk siku ya kuzungumzia sakata hili kilionyesha wazi rais anajua mchezo wote. Ingekuwa mataifa yenye taasisi madhubuti kikwete alipaswa kuondoka ikulu mara moja!
 
- Mara anasema kwa uhakika mara ameambiwa mara taarifa zinasema, zile zile habari za kawaida za Kubenea toka alipoamua kujiunga na kundi linalomchukia Rais kazi kuandika uchonganishi na uzushi kama huu wa kitoto kabisa ila kwa vile kuna wanaoamini wanaweza kutumia uzushi huu kushika Ikulu basi ngoja wajipe moyo, hii habari ni ya kupikwa pikwa ndio maana haina uhakika mkajipange tena!!

Le Mutuz

muulize yeye TISS aliondoka kwa minajiri ipi
 
Watanzania ni wa ajabu sana,yaani mda wote huo bado hamjuhi kwa Epa na Escrow havina tofauti na wahusika wakuu ni chama cha CCM? mnataka pesa ya kuwahonga itoke wapi? mnaambiwa eti Mhongo kaiba na nyie mnakubali,kwahiyo yeye ndo aliyeinitiate hiyo muvi siy ama mlitegemea agome kuunganisha mambo chama chake kishinde wakati anayragiza ndo boss wake? ama mlitaka yamkutr ya Balali na Mgimwa? mpaka hapo bado hamjaelewa tu
 
- Mara anasema kwa uhakika mara ameambiwa mara taarifa zinasema, zile zile habari za kawaida za Kubenea toka alipoamua kujiunga na kundi linalomchukia Rais kazi kuandika uchonganishi na uzushi kama huu wa kitoto kabisa ila kwa vile kuna wanaoamini wanaweza kutumia uzushi huu kushika Ikulu basi ngoja wajipe moyo, hii habari ni ya kupikwa pikwa ndio maana haina uhakika mkajipange tena!!

Le Mutuz

kama kawaida mada zinaanza hiv hiv mdogo mdogo mala za kitoto mala makatasi ya kufungia maandazi mwisho najiuzulu kwa maslah ya taifa langu hiyo inatoka ktk makaratasi ya maandazi na habar za kitoto.
 
I have been saying the same from day one of my comments on this saga.

Bongo watu wanamuogopa sana rais.

JK mwenyewe amenukuliwa akisema keamba ana shaka akistaafu atashitakiwa.
 
- Mara anasema kwa uhakika mara ameambiwa mara taarifa zinasema, zile zile habari za kawaida za Kubenea toka alipoamua kujiunga na kundi linalomchukia Rais kazi kuandika uchonganishi na uzushi kama huu wa kitoto kabisa ila kwa vile kuna wanaoamini wanaweza kutumia uzushi huu kushika Ikulu basi ngoja wajipe moyo, hii habari ni ya kupikwa pikwa ndio maana haina uhakika mkajipange tena!!

Le Mutuz
Hiki ulichoandika ndicho cha kweli mkuu tumekuamini.Hongera sana na aibu yako
 
Hakuna marefu yasiyo na mwisho ipo siku kila kitu kitakuwa wazi tu, ni kuvuta subira tu.
 
- Mara anasema kwa uhakika mara ameambiwa mara taarifa zinasema, zile zile habari za kawaida za Kubenea toka alipoamua kujiunga na kundi linalomchukia Rais kazi kuandika uchonganishi na uzushi kama huu wa kitoto kabisa ila kwa vile kuna wanaoamini wanaweza kutumia uzushi huu kushika Ikulu basi ngoja wajipe moyo, hii habari ni ya kupikwa pikwa ndio maana haina uhakika mkajipange tena!!

Le Mutuz
Naona unajitekenya na kucheka mwenyewe
 
Back
Top Bottom