Marando: Kikwete mtuhumiwa Escrow

Marando: Kikwete mtuhumiwa Escrow

Mwl.Nyerere aliwahi kusema "kuna mpumbavu mmoja anaitwa mabere marando"
 
- Rais wa Jamhuri aache kazi zake za Taifa akahangaike na no body Marando ni nani kwani?

Le Mutuz

Hoja zako na mwili wako ni tofauti kama mbingu na ardhi! jitahidi kukonda ili mawazo yako yaendane na mwili wako!!
 
Inawezekana sana kuwa Ikulu imehusika 100% ... Ila JK kama JK nitakuwa wa Mwisho kuamini kuwa alihusika moja kwa moja! Mamlaka aliyokuwa nayo Rais wa Nchi hii makubwa mmno kiasi cha yeye kuweza kuamuru kupewa matofali ya dhahabu kutoka kwa Wakwapuaji wa ndani na nje kama alivyokuwa akifanya Mkapa! ...

sikuelewi, unataka tuamini kuwa dhahabu ni bora kuliko fedha tasilimu kiasi chote kile, au unajipendekeza? tambua muda ndiyo unaisha hivyo
 
Hizo fedha Taslim ni kiasi gani mbele ya Gold Bullion lisilokuwa na makelele na ambayo thamani yake hukua kila siku? ... Rais akitaka Ruby, Almasi, Tanzanite, Gold nk atapata kirahisi sana tena kwa kiwango kikubwa! GGM waliwahi kumzawadia Mkapa Gold ila Mrema alipaza sauti sana ... my point is JK hawezi kuingia kwenye deal la hovyo kiasi kile! ... Anauwezo wa kumuamuru Ndullu kumchotea kuanzia Madafu, Euro na hata Dollari za kutosha... Pengine hujui madaraka ya Rais... Sema waliokuwa karibu yake ndo wamefanikisha hilo deal kwa maslah yao ... Nisome vizuri na unielewe ...
sikuelewi, unataka tuamini kuwa dhahabu ni bora kuliko fedha tasilimu kiasi chote kile, au unajipendekeza? tambua muda ndiyo unaisha hivyo
 
Mwandishi mwenyewe said kubenea lile jizi lenye mdomo mwekundu ha ha ha ha.

kubenea kichwa chake kinawaza kupewa hela mda wote ni zaidi kunguru aliwahi kupewa hongo ndogo sana ili kumchafua mtu.

Tatizo lako ni kwamba umejawa matusi zaidi kuliko hoja. Kubenea ana hoja nzito mpaka ilibidi Serikali ya CCM ifungie gazeti lake. kama walikuwa na hoja si wangemshtaki mahakamani? ni kawaida kwa chama kilichofilisika fikra, falsafa, mwelekeo, dira, kuwa na wasemaji aina yako
 
Katiba hairuhusu mtu aliyekua rais kushitakiwa. Wizi wake uzembe wake na makosa yake yanalindwa na katiba. Tukibadili katiba tutaweza kumfanya raisi pindi awapo madarakani kuwa na nidhamu na ofisi kuu ya nchi.

Katiba ya Tanzania inachekesha.

Rais akiwa madarakani anaweza kuwa impeached akashtakiwa na hata kuondolewa madarakani/ kufungwa, in principle at least.

Akistaafu hawezi kuguswa kwa makosa aliyoyafanya akiwa rais.

It is time we change this. It makes no sense. Kama mstaafu hatakiwi kuguswa basi hata ile impeachment process for a sitting president haina maana.

Na kama impeachment process ina maana, basi hata mstaafu atakiwe kuwezekana kuwajibishwa.
 
. J. Malecela;11778329]- Habari imeandikwa na Saeed Kubena kwa niaba ya nani? hahahahahahaha

Le Mutuz[/QUOTE]
So what kama kubenea...defend ur point acha kujipendekeza!!!
 
- Mara anasema kwa uhakika mara ameambiwa mara taarifa zinasema, zile zile habari za kawaida za Kubenea toka alipoamua kujiunga na kundi linalomchukia Rais kazi kuandika uchonganishi na uzushi kama huu wa kitoto kabisa ila kwa vile kuna wanaoamini wanaweza kutumia uzushi huu kushika Ikulu basi ngoja wajipe moyo, hii habari ni ya kupikwa pikwa ndio maana haina uhakika mkajipange tena!!

Le Mutuz

William
Jamvi hili mbona limegeuka la kihuni.
 
Mtoto wa tingangatinga anaharibu jamvi hili.mtoto mwehu kweli mwili mkubwa kichwani box.
 
Katiba ya Tanzania inachekesha.

Rais akiwa madarakani anaweza kuwa impeached akashtakiwa na hata kuondolewa madarakani/ kufungwa, in principle at least.

Akistaafu hawezi kuguswa kwa makosa aliyoyafanya akiwa rais.

It is time we change this. It makes no sense. kama mstaafu hatakiwi kuguswa basi hata ile impeachment process for a sitting president haina maana.

Na kama impeachment process ina maana, basi hata mstaafu atakiwe kuwezekana kuwajibishwa.

Na hili ndilo nilikuwa nikiliona kama kosa kubwa la katiba ya warioba, nilitegemea kama ingekubalika bungeni kipengele hiki kifutwe ila katika ile nayo ilikuwa ikilinda maraisi kama miungu watu.

Nafasi tulio nayo nii yakuandika katiba mpya.. Kipengele cha raisi kushitakiwa nincha muhimu sana, kitatoa hofu kwa maraisi kutumia madaraka vema

Leo rais ana haribu kwasabab hapo alipo anajua hatoguswa, ila kwasasa tubadilike, kikwete awe ni raisi wa kwanza kwwnda mahakamani soon Mwakani mwezi wa kwanza
 
- Mara anasema kwa uhakika mara ameambiwa mara taarifa zinasema, zile zile habari za kawaida za Kubenea toka alipoamua kujiunga na kundi linalomchukia Rais kazi kuandika uchonganishi na uzushi kama huu wa kitoto kabisa ila kwa vile kuna wanaoamini wanaweza kutumia uzushi huu kushika Ikulu basi ngoja wajipe moyo, hii habari ni ya kupikwa pikwa ndio maana haina uhakika mkajipange tena!!

Le Mutuz

we le mutuz unamuona the so called president ni mtu safi wakati ni dhaifu???

very sad to have people like you
 
Na hili ndilo nilikuwa nikiliona kama kosa kubwa la katiba ya warioba, nilitegemea kama ingekubalika bungeni kipengele hiki kifutwe ila katika ile nayo ilikuwa ikilinda maraisi kama miungu watu.

Nafasi tulio nayo nii yakuandika katiba mpya.. Kipengele cha raisi kushitakiwa nincha muhimu sana, kitatoa hofu kwa maraisi kutumia madaraka vema

Leo rais ana haribu kwasabab hapo alipo anajua hatoguswa, ila kwasasa tubadilike, kikwete awe ni raisi wa kwanza kwwnda mahakamani soon Mwakani mwezi wa kwanza

To be fair, the counter argument is that rais akiwa na uhakika wa kutoshitakiwa anaweza kufanya kazi yake vizuri zaidi bila ya hofu ya kushitakiwa, assuming ana nia ya kufanya mazuri.

The problem is, we cannot depend on individuals, we have to depend on laws.
 
Katiba ya Tanzania inachekesha.

Rais akiwa madarakani anaweza kuwa impeached akashtakiwa na hata kuondolewa madarakani/ kufungwa, in principle at least.

Akistaafu hawezi kuguswa kwa makosa aliyoyafanya akiwa rais.

It is time we change this. It makes no sense. kama mstaafu hatakiwi kuguswa basi hata ile impeachment process for a sitting president haina maana.

Na kama impeachment process ina maana, basi hata mstaafu atakiwe kuwezekana kuwajibishwa.
Mkuu haswaa hapo umenena maana binafsi nilichukia sana pale upinzani walipokubali kuingizwa mkenge na kuzungumzia serikali 2 au 3 wakaacha kufikiri kwamba CCM ilitaka ubishani wa serikali uchukue nafasi kubwa ya mazungumzo kiasi kwamba mambo muhimu kama haya yasipate kujadiliwa.

Na hata baada ya maamuzi ya PAC kuhusiana na sakata la escrow, bunge bado lilikuwa halina meno wala nguvu ya kuishtaki serikali japo moja ya kazi zake ni kuisimamia serikali. Usimamizi gani ikiwa huna uwezo wala nguvu ya kuishtaki serikali! Sasa wakataka rais ndiye atoe maamuzi japo yeye na serikali yake ndio washtakiwa. Sijui watu walitegemea nini zaidi ya kuona kina Muhongo wakijiuzuru. Haya wamejiuzuru tumefanikisha lipi kama sio ule ule utamaduni wa replacement ya watu, badala ya maintenance ktk kilichoharibika! hakuna ulazima wowote wa ethics na sheria unaomwajibisha kiongozi aloondoka wala anayeingia hatakuta sheria tofauti, utaratibu ni ule ule!

Ndivyo tulivyozoezwa toka enzi ya Ujamaa yaani shirika likifanya vibaya kutokana na uhujumu uchumi, kosa sii laa uongozi bali shirika lenyewe ndilo lina matatizo linahitaji kichwa kipya!. Ukionekana kama unazuia riziki za watu watakufanya ya Sokoine!
 
JK should be impeached and arrested for the grand corruption involvement
 
- Mara anasema kwa uhakika mara ameambiwa mara taarifa zinasema, zile zile habari za kawaida za Kubenea toka alipoamua kujiunga na kundi linalomchukia Rais kazi kuandika uchonganishi na uzushi kama huu wa kitoto kabisa ila kwa vile kuna wanaoamini wanaweza kutumia uzushi huu kushika Ikulu basi ngoja wajipe moyo, hii habari ni ya kupikwa pikwa ndio maana haina uhakika mkajipange tena!!

Le Mutuz


kama kuna Uongo hapo, naomba Marando akamatwe apelekwe Mahakamani.
 
Back
Top Bottom