Marando: Kikwete mtuhumiwa Escrow

Marando: Kikwete mtuhumiwa Escrow

JK should be impeached and arrested for the grand corruption involvement

Why should he be impeached while he said the escrow money was not public money? Has anyone proved him wrong? My president cannot lie.
 
Kikwete maliza tu muda wako,utuachie Tanzania yetu.Wakati unachaguliwa watu walijua wamepata Mkombozi kumbe ni kinyume chake.Nenda tuu kijijini kwako ukatafune hizo hela ambazo umezibeba vyakutosha kiasi ya kwamba mpaka Mungu atakapokuchua utakuwa hujazimaliza hujazimaliza lakini kumbuka laana ya watanzania masikini haitakuacha.
 
USSA ALLAN;11778981]UKAWA ni Muungano wa ajabu sana, Profesa wa Uchumi anamuiga LEMA, mhitimu wa std 7.[/QUOTE]

Huitaji kuwa profesa kutambua kama ule no udhalilishaji, ukiukwaji wa haki za binadamu ...ama sivyo utakua darasa la pili!!!
 
Escrow kama deal zingine zile, Kikwete hakwepeki. Yumo.
Wale waliomuangalia siku ile akihutubia vizee vya sisiemu ataelewa jinsi alivyokuwa anababaika kwenye maelezo yake.Alichukua maelezo ya Muongo kuwa ndio ya kwake.
Yeye na wale wote wezi tu.
 
Katiba ya Tanzania inachekesha.

Rais akiwa madarakani anaweza kuwa impeached akashtakiwa na hata kuondolewa madarakani/ kufungwa, in principle at least.

Akistaafu hawezi kuguswa kwa makosa aliyoyafanya akiwa rais.

It is time we change this. It makes no sense. kama mstaafu hatakiwi kuguswa basi hata ile impeachment process for a sitting president haina maana.

Na kama impeachment process ina maana, basi hata mstaafu atakiwe kuwezekana kuwajibishwa.

Mzee wa Warioba na timu yake ya wazalendo walikua wanakaribu kuliona hili ila Chenge na wenzake wamepinga na inaonekana kama timu ya akina Chenge inaweza kushinda. Ni kweli KATIBA yetu inahitaji mabadiliko.
 
kikwete uwanaomba apotee na ndege ila haitokei sijuwi kwann hapandi malasia airline
 
- Rais wa Jamhuri aache kazi zake za Taifa akahangaike na no body Marando ni nani kwani?

Le Mutuz

Marando is "no body" before the URT - President Mr Kikwete siyo? Vipi wewe kwake ni "somebody" ama!!??

Anyway, let me tell you something, that, Kikwete as URT President is there for and because of the "no people/no body" like me, you, Marando and all Tanzanians!!

And put this in your head; Mr JK contrary to his position and authourity,he is a human being and he therefore he has all human being qualities;

He feels pains, angry, happy, hungry,sorrow and sometimes he feels guilty too and he makes mistakes as well. Not only that, but also he falls sick and one day he will die like everyone of us!!

Pia kwa kuwa ni binadamu km alivyo mimi na wewe, basi anapenda sifa njema zitokanazo na kufikiri na kutenda vyema. Contrary to that hapendi sifa mbaya km ambavyo mimi na wewe hatupendi, au siyo?

But, kamwe hatuwezi kuzuia sifa mbaya ama njema kutuandama no matter zinatoka wapi na kwa nani simply because binadamu kaumbiwa pande mbili za WEMA na UBAYA na ni yeye apaswaye kuchagua upande mmojawapo!!

Maana ya maelezo haya ni hii; Marando is not just "no body" as to his opinions and accusations to Mr President Jakaya Kikwete against Tegeta Escrow Account Scandal. Hii ni sawasawa na kwa JK mwenyewe kwamba kama binadamu ni wazi hajisikii vyema dhidi ya tuhuma hizi zinazoelekezwa kwake kama yeye na kwa familia yake bila kujali nafasi yake kama jamii na ulimwengu huu....... lakini sababu kubwa ni kwamba yeye ni binadamu aliyeumbwa wakati mwingine aumie, alie,afurahi, augue, acheke, afanye makosa na kujiona mwenye hatia na wakati mwingine ajirekebishe na kupata furaha ya nafsi yake!!
 
Pesa ya escrow imeliwa na kila chama wapinzani woote Akina Mbowe na wenzake walipiga pesa za escrow pale Bungeni huwa wanawahadaa watu tu, Wakiletwa FBI au Scotland yard hapa Tz walipeleleze sakata la escrow kwa kiina na Ufasaha unaweza kushuhudia Maajabu ambayo haukuyatarajia kwani wamo Watu ambao hawajatajwa na jamii inawaona ni Miungu watu kumbe ni mchwa hatari kuliko inavyofikiriwa.
 
kikwete uwanaomba apotee na ndege ila haitokei sijuwi kwann hapandi malasia airline

Mbowe, mnyika, wenje,slaa, lipumba, mbatia, Lema na wenzao nao wapande hiyo Ngege? Maana nao Mgao wa escrow uliwapitia japo wanajitahidi kuzuga zuga kwa kuwahadaa Watanzania .
 
Hivi hizo pesa ni za umma??na km ni za umma inawezekana vipi viongozi ambao wako chini ya mwenyekiti wa cabinet wanyeshewe na mgao huo afu mwenyekiti atoke kapa??
 
Kwa wajuzi wa mambo tunaamini kashfa za Richmond na Escrow hazitamwacha JK salama hata akiishatoka madarakani. Sioni atakapoponea kukanyaga kapeti la mahakama kuu. Bado ni suala la muda tu.
 
ndiyo no swala la muda tu. Ila mwenzenu nawashangaa CCM wanasema hawawezi kurusu ukawa kuingia Ikulu. sasa kama no hivyo mbona mnazunguka koumba kura? za mini? mbona mmeshafika ikuli
 
Hivi wadau serikali ambayo iko serious hivi sulala la ufisadi aka wizi mkubwa wenye jina zuri ni wa kuunadi majukwani badala ya kuchukua hatua kali za kuwaweka lockup na kuwafilisi mali sina sababu ya kushangilia ujinga hao mafisadi walioko ccm na waliokimbia waje wafisadi mtaani waone nguvu ya um. Hizo pesa zina uwezo wa kujenga zahanati kibao. Halafu leo ccm wamemwachia mtu mmoja kukuja pesa nyingi kiasi hicho. Sina sababu ya kuendelea na chama cha mapinduzi. Kama serikali ilishindwa mbona wabunge wa ccm hawakuwaunga mkono wenzao wa upinzani ili majambazi yafungwe halafu leo mnasema magufuli na timu ile ya washambuliaji wabovu wataweza kuondoa urasimu wakati mafisadi nao wamegombea
 
Kwa wajuzi wa mambo tunaamini kashfa za Richmond na Escrow hazitamwacha JK salama hata akiishatoka madarakani. Sioni atakapoponea kukanyaga kapeti la mahakama kuu. Bado ni suala la muda tu.

Ni sawa na suala la Richmond, ni lazima mtuhumiwa akapelekwa mahakamani. Ni suala la muda tu.. hata Dr Mwakyembe alisema hilo
 
Back
Top Bottom