simplemind
JF-Expert Member
- Apr 10, 2009
- 16,699
- 9,590
Mungu bwana muache aitwe Mungu,Ndege wanazopanda raia wema zinapotea au kutumbukia baharini ili hizi wanazopanda hawa watu wetu hazipotei bana?
Mfumo ndio tatizo, akiondoka fisadi mmoja mwengine anashika nafasi ile na wizi unaendelea kama kawa.