Marando: Kikwete mtuhumiwa Escrow

Marando: Kikwete mtuhumiwa Escrow

Marando acha kudanganya watu,mbona kampuni yako ya mawakili na washirika wako ndio mlienda mahakamani kuzuia bunge lisijadili? Na kumtetea Sing? Leo unatuambia habari gani? Wewe ukiwa mikutanoni ulikuwa unalia na wizi wa EPA lakini ni wewe Marando uko mahakamani kuwatetea hao wezi,tuondoleeni upumbavu wenu,mambo haya yanawezekana Tanzania tu,nchi nyingine wanakupiga mawe
 
- Mara anasema kwa uhakika mara ameambiwa mara taarifa zinasema, zile zile habari za kawaida za Kubenea toka alipoamua kujiunga na kundi linalomchukia Rais kazi kuandika uchonganishi na uzushi kama huu wa kitoto kabisa ila kwa vile kuna wanaoamini wanaweza kutumia uzushi huu kushika Ikulu basi ngoja wajipe moyo, hii habari ni ya kupikwa pikwa ndio maana haina uhakika mkajipange tena!!

Le Mutuz

Wewe ni mmoja wa wanafamilia zinazonufaika na utawala ulioko madarakani hivyo ni vema ukawa unapima upepo kabla hujajitosa kichwa kichwa lujibu topic nyeti kama hizi.
Tunajua uko kwenye mkwamo kwani umesahaulika hata u-dc.pamoja na kuangukia pua kwenye EALA.
Pole.
 
- Mara anasema kwa uhakika mara ameambiwa mara taarifa zinasema, zile zile habari za kawaida za Kubenea toka alipoamua kujiunga na kundi li2nalomchukia Rais kazi kuandika uchonganishi na uzushi kama huu wa kitoto kabisa ila kwa vile kuna wanaoamini wanaweza kutumia uzushi huu kushika Ikulu basi ngoja wajipe moyo, hii habari ni ya kupikwa pikwa ndio maana haina uhakika mkajipange tena!!

Le Mutuz

we le mutuz akili ndogooo tu
mwili m kubwa ndio maana miaka53 bado unakula.kwa.mama wa kambo baada ya kuchoka kubeba maboxi marekani
punguani wahhid
 
Nadhani wewe ndiye mtoto,kiakili,huku tu mtaani wananchi wanajua rais na familia yake wanahusika moja kaw moja,ngoja nikuelimishe kwa swali dogo,je inawezekana kwa waziri yeyote kupiga hela bila rais kujua?hata mtoto wa chekechea atasema haiwezikani!unapinga kwakujipendekeza labda unatafuta kitu fulani na ni kwasababu sheria za nchi hii ni mbovu tu,hatavrais alipaswa kuwajibishwa na kufikishwa mahakamani.

mamake kapewa uwaziri amlee babake
 
Rugemalila ni mtu ambaye anatakiwa kukamatwa na kufikishwa kwenye mikono ya sheria. Nashangaa kwa nini ukawa hawashinikizi hilo. Hata kwenye maazimio ya bunge hakukuwa na azimio la kumtaka Rugemalila kuwajibishwa
Wafadhiri wa ccm wapo juu ya sheria.CCM na Kikwete wameharibu nchi yetu kwa kiwango kikubwa-Wanasitahiri kukuatwa vichwa hadharani
 
W. J Malecela naona unajitahidi kutetea ili ukumbukwe kama Anna Kilango alivyotetea mjengoni! Tatizo akili yako ndogo sana at your 60, sijui unafaa kuwekwa wapi hata ukikumbukwa!?

Mbona watoto wa mawaziri wakuu wengine wametulia, ww kazi kujiresi kila mara!?


hawez kukiri ukweli kwa vile pia baba yake juma malecela alipewa mamilioni ya harusi na jitu patel wote ccm.wezi
nyway aendelee kula uzee na waremboo
u know haahahhahh
 
Habari hii imeandikwa kwa mazingira ya kufikirika au kuogopa kutoa details Kama wanazo....unaweza je kumtaja Rais na familia yake lakini ukashindwa kutoa ushahidi.....
please we need details please......mwagaaaa......Kubeneaaaa aka Edwo boy.
 
- Mara anasema kwa uhakika mara ameambiwa mara taarifa zinasema, zile zile habari za kawaida za Kubenea toka alipoamua kujiunga na kundi linalomchukia Rais kazi kuandika uchonganishi na uzushi kama huu wa kitoto kabisa ila kwa vile kuna wanaoamini wanaweza kutumia uzushi huu kushika Ikulu basi ngoja wajipe moyo, hii habari ni ya kupikwa pikwa ndio maana haina uhakika mkajipange tena!!

Le Mutuz

Sasa unacho kataa nikipi?hizofedha hazikuibiwa?
 
Haitoshi tu kusema kuwa JK anahusika au mnufaika wa fedha za escrow bali mchekeshaji kubenea anapaswa kutuambia jinsi JK alivyonufaika na fedha hizo

Hivi mtu anaposema fulani amepokea TShs 9 billion unafikiri anamaanisha nini!!? Au kwako kunufaika kuna maana gani!!? The point is very clear ................. JK amenufaika na Escrow kwa kupata mgao wa billion 9. Nyie wateteaji mnatakiwa kutueleza ni jinsi gani hii habari ni ya uongo au ni jinsi gani Mheshimiwa hakunufaika!!
 
- Mara anasema kwa uhakika mara ameambiwa mara taarifa zinasema, zile zile habari za kawaida za Kubenea toka alipoamua kujiunga na kundi linalomchukia Rais kazi kuandika uchonganishi na uzushi kama huu wa kitoto kabisa ila kwa vile kuna wanaoamini wanaweza kutumia uzushi huu kushika Ikulu basi ngoja wajipe moyo, hii habari ni ya kupikwa pikwa ndio maana haina uhakika mkajipange tena!!

Le Mutuz

kwenda kule ..kwanza umeshamaliza kukarabati nyumba ya mama yako kule Tunduma?
 
Huu ni mtihan mkubwa Sana kwa vijana was sasa yan vijana wanatetea maovu ya chama na serikali.
 
Wiliam grate minds deals with issues and not personalities!hata kama ni Kubenea ameandika nawe humpendi?deal na hoja alioileta jamvini siku mua attack yeye binafsi!only poor minds discuss people!wewe ni msomi hili unalijua vema..

Kuna usomi wa kuelewa huo yeye hakusomea bali alilipua lipua kupata vyeti.. umbumbumbu Uko pale pale.
 
Hii ishu kweli bado ni mbichi na hii ndio itaimaliza ccm,pesa imepigwa halafu haijafika kwenye chama imeishia mifukoni mwa familia ya raisi safi sana.cham kitafanya kampeni na nini sasa?pinda naye kapiga sasa hapo ndipo patamu na kweli hii inaila ccm na wahusika wote watatajana,tunaendelea kupata majina ya wezi wa pesa zetu,Mungu wangu wakati maskini hawana chakula,hawajalipwa pesa zao za mazao jamani serikali haina huruma.Mungu iangalie Tanzania kwa jicho la pekee
 
1 Timotheo 6:17-
 

Attachments

  • 1422511469507.jpg
    1422511469507.jpg
    45.1 KB · Views: 176
- Mara anasema kwa uhakika mara ameambiwa mara taarifa zinasema, zile zile habari za kawaida za Kubenea toka alipoamua kujiunga na kundi linalomchukia Rais kazi kuandika uchonganishi na uzushi kama huu wa kitoto kabisa ila kwa vile kuna wanaoamini wanaweza kutumia uzushi huu kushika Ikulu basi ngoja wajipe moyo, hii habari ni ya kupikwa pikwa ndio maana haina uhakika mkajipange tena!!

Le Mutuz

Watu kama nyie mdio mnaoiaharibu ccm na kufanya ionekane ni kichaka cha wezi. Hivi wewe na usomi wako wote unatetea wizi huu kwa maslahi mapana ya nani? Watanzania wa leo sio wa kulishwa uongo na propaganda kama hizi zako. Kama alichoandika Kubenea ni uongo basi Marando ashtakiwe mahakamani kwa kumchafua rais na kina Ndullu, sio wachumia tumbo kama wewe na wenzako kuja hapa na kutetea wizi.
 
Nawashanga nyinyi na fikiri hata familia ya muheshimiwa jk inawashangaa, wanao itetea familia na taka kuwambia kuwa mahakama ndio inayothibitisha kuwa familia hii imepata mgao huo 9bn ua laa kwanini sisi tugeuke kuwa mahakama na kuanza kusafisha hili jambo
 
- Mara anasema kwa uhakika mara ameambiwa mara taarifa zinasema, zile zile habari za kawaida za Kubenea toka alipoamua kujiunga na kundi linalomchukia Rais kazi kuandika uchonganishi na uzushi kama huu wa kitoto kabisa ila kwa vile kuna wanaoamini wanaweza kutumia uzushi huu kushika Ikulu basi ngoja wajipe moyo, hii habari ni ya kupikwa pikwa ndio maana haina uhakika mkajipange tena!!

Le Mutuz
maskini weweee, nasikia babu mzee Malecela hajapewa hata mia kwenye mgawo huu.
 
Back
Top Bottom