Utamaduni
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 1,279
- 597
Ndivyo nilivyofanya mimi. Hapa ana ujumbe kuwa Umati huu ni kwa kuwa fulani ni maarufu sana, anapendwa sana, anafaa sana n.k.
Kwa hiyo una admit kwamba wewe na serikali yako mliyojiweka madarakani hamna hizo sifa ndio maana katika mikutano yenu yoyote ile watu hawawezi kuja bila:-
1. kukodiwa magari ya kuwaleta uwanjani
2. kupewa tshirt, kanga, vitambaa,
3. kupewa elfu 5,000 - 10,000?