The Kop
JF-Expert Member
- Aug 7, 2010
- 209
- 92
kaka utamaduni...maneno yako yamenitoa machozi....tone ulotumia inadhiirisha unavyoumia...ki ukweli mie najisikia kuua, kuua, kuuua, kuua...nikiona watanzania wengi wanavyo taabika ka wako jehanamu, huku mafisadi yakiishi paradiso na familia zao...inanifanya nijisikie kuua, manake sina cha kupoteza....!