Mara: Askari watano JKT washikiliwa kwa tuhuma za mauaji

Upo sahihi kimsingi moja ya majeshi ambayo askari wake wamestaarabika ni jeshi la USA. Yani Wana utu mno kwa raia.
 
Tatizo lako ulitaka kuleta ka'umaarufu'.. watu wenye ka'umaarufu' hawajawahi kuachwa salama!
 
Hiyo a.k.a ya marehemu imenifikirisha sana bila kupata jibu.
Kwa kawaida tulio wai ishi musoma mtu akiitwa/akijiita baga(mabaga) inamaana ni mlemavu.
 
Ila hai hawajaajiriwa kwahiyo ni kosa kwaita askari, nijuavyo JKT ni chuo cha mafunzo, ukihitimu na kuajiriwa unaofanya mafunzo ya uaskari JWTZ, ( TPDF) so hao tuwaite bado ni MA SERVICE, sio askari. Nadhani tuweke sawa hili kwanza.
 
Ulikosa ajira jwtz sio bure au itakua walikugongea mke maana sio kwa povu hilo
Unazungumzia ajira unakuta yeye kaajiri Watanzania kibao JF ina watu ww endelea kudharau ukibahatika kukutana nao live hautaamini na utaacha kuwadharau usiowajua na kejeli zisio na maana...
 
Hawa vijana hamnazo kabisa,
Ubabe wao wakiwa wengi,Kule Dar Kawe,wanadungwa visu na mateja mpaka unashangaa.
 
Kitu cha kwanza kwa askari aliyeiva vizuri ni nidhamu. Bila hivyo askari bado hajaiva. Maneno ni mawili tu Jeshini, "Ndiyo afande" na "Hapana afande" full stop. Na unapokea amri kutoka kwa dogo uliyemzidi umri hata kwa miaka 10

Okay, nidhamu ya ndiyo na Hapana kwa AFANDE tu, huko uraini ni ndiyo kipigo!
 
Ili liwe funzo kwa vijana wapuuzi wanaovimba mtaani kisa wamepata mafunzo na hawatambuliki popote zaidi ya kuambiwa wao ni akiba,kesi iendeshwe inavyotakiwa wale vifungo vya maisha wote wate kama mi huwa sina huruma nao haiwezekani ukatishe maisha ya binadamu mwenzako kijinga jinga tu, hao jamaa huku mtaani hawana ishu wengi ni darasa la saba na wenye four za 32 wamefundishwa uzalendo na kujiajiri kwenye nyanja mbalimbali hasa kilimo lakini raia akivaa kikofia kina vinembo vya jeshi la nchi nyingine watampiga hadi basi na ndio maana kuna mtu analalamika kuwaajiri hamfai sababu wengi wao ni wavuta bangi na walioshindikana wakaamua kwenda huko bora kuchukua watu mtaani wenye nidhamu hau mashuleni na vyuoni moja kwa moja.
 
Okay, nidhamu ya ndiyo na Hapana kwa AFANDE tu, huko uraini ni ndiyo kipigo!
Ahaa!! Uraiani kwa Askari aliyeiva vizuri: Unakatwa klofi la uso na raia, jibu lako: "Asante sana Bro! Hayo ni moja ya mazoezi tunayopewa kambini. Tafadhali hebu ongeza Kofi la pili!"
 
Ahaa!! Uraiani kwa Askari aliyeiva vizuri: Unakatwa klofi la uso na raia, jibu lako: "Asante sana Bro! Hayo ni moja ya mazoezi tunayopewa kambini. Tafadhali hebu ongeza Kofi la pili!"
Labda kanisani madhabahuni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…