Upo sahihi kimsingi moja ya majeshi ambayo askari wake wamestaarabika ni jeshi la USA. Yani Wana utu mno kwa raia.Mafunzo ya kijeshi hayo yamepitwa na wakati. Mbona nchi nyingine wanajeshi ni watu wapole sana? Kuna sehemu nilifanya kazi yenye wanajeshi wa USA. Ni wapole na waungwana kweli kweli japo muda wote walikuwa wanatembea na silaha kiunoni. Mkipishana mlangoni ni lazima asuburi upite kwanza.
Huwa wanafundishwa ujinga sana eti wenyewe ndo wenye nchi huku mfukoni hawana hata buku.
Pastor dah hivyo vititi day.Ndio
Tatizo lako ulitaka kuleta ka'umaarufu'.. watu wenye ka'umaarufu' hawajawahi kuachwa salama!Kwanza nina hamu mie?
Kuna afande km wa 3, wawil wa kiume na m1 wa kike, walikua wananichukia hataree, hata sijui niliwakosea nn, walinitesa mie had nilijuta kuwafahamu.
Siku ya mwisho ya maagano na kukabidhi combat, wanajifanya kuomba msamaha na kuniambia nisiwe na moyo wala roho ya kisasi, huenda tutaktan sehem nyingne nikashindwa hata kuwapa msaada, jaman yan wale watu siwasamehe kamweeh.
sasa mbn hao polisi mnaowadharau ndio wanawashikilia wenzenu?Mzee hujui kule tunafunzwa ubabe,kudharau raia na polisi wote pia kulima kwa sana.
Ila hai hawajaajiriwa kwahiyo ni kosa kwaita askari, nijuavyo JKT ni chuo cha mafunzo, ukihitimu na kuajiriwa unaofanya mafunzo ya uaskari JWTZ, ( TPDF) so hao tuwaite bado ni MA SERVICE, sio askari. Nadhani tuweke sawa hili kwanza.Jeshi la Polisi mkoani Mara linawashikilia askari watano wa Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) waliokuwa wamemaliza muda wao wa kujitolea, wakisubiri ajira za muda wa Kikosi cha Jeshi la Wananchi 27 KJ MAKOKO kwa tuhuma za mauaji ya mkazi wa Rwamlimi manispaa ya Musoma, Paulo Joseph, maarufu kama ‘Baga’ kwa madai ya kumshambulia kwa kipigo askari mwenzao.
Kamanda wa polisi mkoa wa Mara Kamishina Msaidizi wa Jeshi la Polisi Longinus Tibashibwamu amethibitisha kushikiliwa kwa askari hao wa JKT, ambao pia wanadaiwa kuwakamata na kuwapiga raia wengine 5, akiwemo dereva wa gari ya abiria inayofanya safari zake kati ya Bweri na Mjini kati yenye namba za usajili T 108 CXK Michael Mrema.
Mkuu wa Kikosi cha Jeshi la Wananchi 27 KJ MAKOKO Kanali Mushashi amekutana na familia ya marehemu Paulo Joseph kwa ajili ya kutoa zpole juu ya kifo hicho huku akiahidi kushirikiana na wafiwa katika shughuli zote za msiba huo kwani waliohusika na mauaji ya kijana huyo mwenye umri wa miaka 35, wapo chini yake.
Unazungumzia ajira unakuta yeye kaajiri Watanzania kibao JF ina watu ww endelea kudharau ukibahatika kukutana nao live hautaamini na utaacha kuwadharau usiowajua na kejeli zisio na maana...Ulikosa ajira jwtz sio bure au itakua walikugongea mke maana sio kwa povu hilo
Kitu cha kwanza kwa askari aliyeiva vizuri ni nidhamu. Bila hivyo askari bado hajaiva. Maneno ni mawili tu Jeshini, "Ndiyo afande" na "Hapana afande" full stop. Na unapokea amri kutoka kwa dogo uliyemzidi umri hata kwa miaka 10
Wao wamekusamehe😅😅 ulikuwa camp gani?acha tu yaan, kule kambini kuna mateso sana, ubinadamu haupo kabisa.
Niwe muwazi wale watu siwezi kuwa samehe kamweeh.
Ahaa!! Uraiani kwa Askari aliyeiva vizuri: Unakatwa klofi la uso na raia, jibu lako: "Asante sana Bro! Hayo ni moja ya mazoezi tunayopewa kambini. Tafadhali hebu ongeza Kofi la pili!"Okay, nidhamu ya ndiyo na Hapana kwa AFANDE tu, huko uraini ni ndiyo kipigo!
Labda kanisani madhabahuniAhaa!! Uraiani kwa Askari aliyeiva vizuri: Unakatwa klofi la uso na raia, jibu lako: "Asante sana Bro! Hayo ni moja ya mazoezi tunayopewa kambini. Tafadhali hebu ongeza Kofi la pili!"