Upo sahihi kimsingi moja ya majeshi ambayo askari wake wamestaarabika ni jeshi la USA. Yani Wana utu mno kwa raia.Mafunzo ya kijeshi hayo yamepitwa na wakati. Mbona nchi nyingine wanajeshi ni watu wapole sana? Kuna sehemu nilifanya kazi yenye wanajeshi wa USA. Ni wapole na waungwana kweli kweli japo muda wote walikuwa wanatembea na silaha kiunoni. Mkipishana mlangoni ni lazima asuburi upite kwanza.