dolevaby
JF-Expert Member
- Aug 25, 2013
- 12,955
- 9,527
Watu wanafanya mauaji kipuuzi..wee una Hela unaenda kuua mtu kama Kondoo siupumbavu huo....Hatareee...
kosa akilofanya ni kumuacha housegirl anapeta na kutumia namba yake ya simu..!
damu ya mtu haimwagiki bure asee lazima itasaka walioimwaga hadi wote waisotee...
Yale mateso ya kubaka na kuchinja binadamu hadi kukata roho yaliashiria kisasi kizito