Mapya yaibuka mauaji ya Aneth Msuya

Mapya yaibuka mauaji ya Aneth Msuya

Hatareee...
kosa akilofanya ni kumuacha housegirl anapeta na kutumia namba yake ya simu..!
damu ya mtu haimwagiki bure asee lazima itasaka walioimwaga hadi wote waisotee...
Yale mateso ya kubaka na kuchinja binadamu hadi kukata roho yaliashiria kisasi kizito
Watu wanafanya mauaji kipuuzi..wee una Hela unaenda kuua mtu kama Kondoo siupumbavu huo....
 
Kuna uwezekano maana naona na gari walilotumia wauaji limekamatwa nafikiri kwa sasa litakuwa limefikishwa Dar. Lilichukuliwa CMC ni Toyota Hilux rangi ya bluu
Mhhhhhh mambo yamefikia patamu.
 
Watu wanafanya mauaji kipuuzi..wee una Hela unaenda kuua mtu kama Kondoo siupumbavu huo....

Juu ya hilo, mimi toka mwanzo niliamini lazima hao watu watakuwa waliacha trail ya ushahidi.

Wasiwasi ulikuwa na bado upo kwenye weledi wa wapelelezi wa Kitanzania.

Naamini kabisa hao wauaji waliacha traces za DNA.

Kwa namna huyo binti alivyouwawa, ingekuwa kwingine naamini tayari kungekuwepo na suspects ambao ama wangekuwa in custody au wangekuwa wanatafutwa.

Lakini kibongobongo ndo hivyo tena...persons of interest ni weeengi!
 
Juu ya hilo, mimi toka mwanzo niliamini lazima hao watu watakuwa waliacha trail ya ushahidi.

Wasiwasi ulikuwa na bado upo kwenye weledi wa wapelelezi wa Kitanzania.

Naamini kabisa hao wauaji waliacha traces za DNA.

Kwa namna huyo binti alivyouwawa, ingekuwa kwingine naamini tayari kungekuwepo na suspects ambao ama wangekuwa in custody au wangekuwa wanatafutwa.

Lakini kibongobongo ndo hivyo tena...persons of interest ni weeengi!
Yaah...nikweli ndio maana nikasema...Mtu mwenye Hela anapotaka kufanya Mauaji anajiuliza Mara nyingi ukichukulia kuna Issue bado iko HOT Mahakaman angetumia Gharama yyt kutafuta watu Proffessinol sasa unaenda kuchukua sijui wavuta Unga daah...Nway ila ukweli unabaki Damu ya MTU inalia
 
Do kama ni kweli tunaowaamini na kuwapenda kwa moyo wa dhati hawatutakii mema na kutufanyia ukatiri kama huu kuna sababu ya kuoa?
 
Police ni mwanadamu bwana sio mungu mpaka akosee kukamatwa kwa mtu mwingine ambaye ni wa karibu naye haimaanishi na yeye ndio kahusika miriam anajuana na watu wengi sanaaaaa
Police wakiamua kukufatilia unadakwa tu kiulaini aisee tusubirie uchunguzi zaidi wote watadakwa tu kiulaini, kuua MTU damu huwa haiendi hivi, sijui kwanini walimuua aneth vibaya hivo. Hata ka aneth hayupo I wish atendewe haki yake aisee.
 
Dada mariam amekutwa anawasiliana na housegirl sana.hata kabla ya anneth kuuawa aliongea na housegirl zaidi ya mara 10.....jiulize tu alikua anaongea nae nini kila cku
Tena mawasiliano yote hurekodiwa aisee usipàange deal kwa simu. Kuna watu walikuwa wanatorosha kitu ila walienda kudakiwa mpakani.
 
Polisi wakosee wapatie haituusu.... Ili mradi ukweli ujulikane tu. Wangepatia kama nao wangekuwepo kwenye tukio siku hiyo. Hivi wewe ubakwe na watu sio mtu na kama haitoshi uchinjwe!!!!!! Kweli!!! Ni adhabu Kali kiasi gani binadamu kumpa mwenzake. Natamani nawewe ungechukuliwa tu kuliko kuendelea kua hapa na vi utetezi vyako.
Hao watu roho zao za kishetani, maskini aneth alikimbilia had chooni wakavunja mlango, ka haitoshi na kubaka juu, Dada ake alihojiwa na Gea habibu nikashindwa kuvumilia aisee. Kuna watu waovu aisee.
 
Sasa mkuu kama Mariam ametajwa na house girl polisi wafanyeje?
haya binti housegal yuko dar kwa anety,huyu mama saimon yuko arusha alimshauri kivipi ukichukulia huyo housegal aliletwa kuja kufanya kazi kwa anety akitokea kwao anety?,connection ipo kweli kati ya mama saimon na huyu housegal?.
The only way polisi wataprove maneno ya housegal ni kuangali rekodi za simu ya huyo houselgal na mama saimon kama kweli kuna connection.

Simu ya huyo housegal ndo inaweza sana kusaidia kwani kumbukumbu zote za watu aliokuwa akiwasiliana nao zinaweza kutoa jibu
 
Police ni mwanadamu bwana sio mungu mpaka akosee kukamatwa kwa mtu mwingine ambaye ni wa karibu naye haimaanishi na yeye ndio kahusika miriam anajuana na watu wengi sanaaaaa
Alikua anaongea na housegirl nini kila cku cmu zaidi ya kumi anampigia.hata cku ya mauaji aliongea nae zaidi ya cmu kadhaa inaonekana nyie hamjui chochote...hata hawara yke magoma yuko ndani
 
Alikua anaongea na housegirl nini kila cku cmu zaidi ya kumi anampigia.hata cku ya mauaji aliongea nae zaidi ya cmu kadhaa inaonekana nyie hamjui chochote...hata hawara yke magoma yuko ndani
Aiseeeeeeeee. ..kazi kweli kweli
 
Duuh nazidi kuusoma huu uzi kwa huzuni na simanzi walivyomuua huyo dada,
Pia naanza kubadilika taratiibu huyo mm simon pamoja na kua nilikua naamini ahusiki.. Nabadili kauli ana kesi ya kujibu haswa mawasiliano yake na hgirl ndo shughuli iko hapo..mawasiliano hayo kutakua na kitu hapo ndani yake..siamini na siamini mama mzazi anaweza ua mtoto wake wa kumzaa kwa ajili ya mali NEVER!!tena kwa ukatili huo! NEVER!on earth.
 
Back
Top Bottom