Mapya yaibuka mauaji ya Aneth Msuya

Mapya yaibuka mauaji ya Aneth Msuya

HUYO MWANAMKE MAMA SAIMON NIMEFANYA KAZI NAYE NA NINGESHANGAA KAMA ASINGEHUSIKA NAMJUA VIZURI TABIA ZAKE MI ALISHAWAHI KUNIKAMATIA BASTOLA................ WACHA AISOME NAMBA.KWANZA MUMEWE ALIVYOFARIKI HATA KABLA MACHUNGU HAYAJAISHA ALITANGAZA NDOA NA MTU MWINGINE NA ERASTO HAKUWA MUME WA KWANZA ,,,,,,, ALIOLEWA MUME AKAWA HANA MKWANJA WA KUTOSHA ERASTO KAJA KAMUOA.................
Hili si la kushangaza kwa wanawake wa Mererani katika miaka hiyo Erasto alipooa. Mererani ilikuwa Mererani kweli wakati huo, pesa nje nje na kila aliyejaribu kuchimba alipata. Wanawake waliruka kama nyuki kutoka ua moja kwenda lingine lenye asali zaidi, na hakuna aliyesikitika, demu huyu akikuacha leo tu kesho yake unapata mkwanja zaidi anakuja demu mkali zaidi, ndiyo hivyo. Kuhusu bastola ilikuwa kawaida sana Mererani kabla ya kunyonywa nguvu sasa hivi na wawekezaji na madini kupungua. Kule ilikuwa jungle justice, kubwa la maadui ndio linasurvive.
 
hahaha ni kweli jamaa kurudi kutoka kusaka mkwanja, maana alimwacha mkewe anauza duka la nguo kakuta vumbi...... mwenye mkwanja keshabeba mke....😛😛😛😛 wake yule mrangi alisononeka sana.
Inaonekana umeishi hili chimbo kwa mrefu mpaka hio familia unaifahamu backgrounds yake
 
wifi mtu hadi sasa yuko rumande anasota....nimeongea na ndugu mmoja wa marehemu anadai kwa kujiamini kabisa eti wifi yao yaani mke wa erasto ndio aliyemuua wifiye
 
Mke anaposaliti ndoa yake,akishirikiana na maadui wa mme.
Wacha aozee jela
 
Ukioga damu ya mtu utakakati maisha,na utapata tabu sana,na lzm uilipie tu kabla ya kuondoka duniani.
 
Hilo usemalo ni kweli shida ya huyu mama wa kimeru ni mali ya mwanae tu ......mama n watoto wa kike ndio shida kubwa hapo kungangania mali za marehemu ambazo haziwahusu kaacha mke n watoto ndio warithi wake
Mkuu kumbe msimamo wako mwanzo ulikuwa huu?!!
 
Back
Top Bottom