Mapya yaibuka mauaji ya Aneth Msuya

Mapya yaibuka mauaji ya Aneth Msuya

Kuna uwezekano maana naona na gari walilotumia wauaji limekamatwa nafikiri kwa sasa litakuwa limefikishwa Dar. Lilichukuliwa CMC ni Toyota Hilux rangi ya bluu

Wapelelezi waga nawaheshimu sana, maana hilo gari nani atakuwa aliliona siku ya tukio, au mtoto wa marehemu
 
Alikua anaongea na housegirl nini kila cku cmu zaidi ya kumi anampigia.hata cku ya mauaji aliongea nae zaidi ya cmu kadhaa inaonekana nyie hamjui chochote...hata hawara yke magoma yuko ndani
Mtu kama Miriam una full mihela utakuwa unawasiliana na beki3 ili iweje???? na navyojua mwanamke akiwa fogo huwaga wana nyodo kishenzi...simple logic alikuwa anatafuta Info's + daily program ya Anneth ili amnase..
 
haya binti housegal yuko dar kwa anety,huyu mama saimon yuko arusha alimshauri kivipi ukichukulia huyo housegal aliletwa kuja kufanya kazi kwa anety akitokea kwao anety?,connection ipo kweli kati ya mama saimon na huyu housegal?.
The only way polisi wataprove maneno ya housegal ni kuangali rekodi za simu ya huyo houselgal na mama saimon kama kweli kuna connection.

Simu ya huyo housegal ndo inaweza sana kusaidia kwani kumbukumbu zote za watu aliokuwa akiwasiliana nao zinaweza kutoa jibu
inawezekana mama saimon alikuwa anamuuliza housegirl movement za aneth ili aweze kupanga mikakati ya kumuua vizuri zaidi...Hata huyo hause girl usikute alikuwa anaropoka tu bila kujua nini kitampata Aneth..
 
haya binti housegal yuko dar kwa anety,huyu mama saimon yuko arusha alimshauri kivipi ukichukulia huyo housegal aliletwa kuja kufanya kazi kwa anety akitokea kwao anety?,connection ipo kweli kati ya mama saimon na huyu housegal?.
The only way polisi wataprove maneno ya housegal ni kuangali rekodi za simu ya huyo houselgal na mama saimon kama kweli kuna connection.

Simu ya huyo housegal ndo inaweza sana kusaidia kwani kumbukumbu zote za watu aliokuwa akiwasiliana nao zinaweza kutoa jibu
Au inawezekana house girl akasetiwa awe anaongea mara nyingi na Miriam ili tukio likifanyika aunganishwe.

Kuna mbinu nyingi za kumfanya aongee na Miriam, umbea kumhusu Anethe anamsema vibaya, au familia inavyomsema vibaya nk.

Lakini kama itakuwa Miriam mwenyewe kafanya hili basi sio Mtu makini.

Ila kwa sasa ni roumers tu na hukumu kabla ya hukumu
 
Mtu kama Miriam una full mihela utakuwa unawasiliana na beki3 ili iweje???? na navyojua mwanamke akiwa fogo huwaga wana nyodo kishenzi...simple logic alikuwa anatafuta Info's + daily program ya Anneth ili amnase..
Amefanya jambo lakijinga sana...unaHela halafu unafanya makosa yakibwege namna hiyo..Nway huenda nae zake zilikuwa zimefika...MTU anaejua mambo hayo na Hela anayo yuko tayari kuagiza wazee wakazi popote Duniani wakakufanyia kz yako NO..trace wala nini Eti...unamtumia Back 3 duu
 
Hao watu roho zao za kishetani, maskini aneth alikimbilia had chooni wakavunja mlango, ka haitoshi na kubaka juu, Dada ake alihojiwa na Gea habibu nikashindwa kuvumilia aisee. Kuna watu waovu aisee.

Roho ambazo hazipaswi kuwepo duniani.Ni kwakua tu hatufahamu maumivu aloyapata ndo mana wengine wanakuja hapa kutetea upumbavu. Kwani alikua mnyama mpaka astahili mateso yale... Huyo mama Simon ndo wa maana sana asiguswe? Eti anasingiziwa? Kwanini yeye na sio wengine? Inaumiza sana jamani na matendo mengine mabaya usikute waliya fanya .....kweli inasikitisha sana.
 
Au inawezekana house girl akasetiwa awe anaongea mara nyingi na Miriam ili tukio likifanyika aunganishwe.

Kuna mbinu nyingi za kumfanya aongee na Miriam, umbea kumhusu Anethe anamsema vibaya, au familia inavyomsema vibaya nk.

Lakini kama itakuwa Miriam mwenyewe kafanya hili basi sio Mtu makini.

Ila kwa sasa ni roumers tu na hukumu kabla ya hukumu

Kwanini uumize kichwa ivyo mkuu na assumptions kibao. Acha wapelelezi wafanye kazi yao. We subiria matokeo tu.
 
Ndoto yake ya kurithi mali za Erasto naona imeyeyuka..
Anaenda kunyea debe, huku akiziota Mali za erasto..sipatii picha huyo Magoma alivyokuwa anaweka pozi la kibilionea coming soon..
 
Kwanini uumize kichwa ivyo mkuu na assumptions kibao. Acha wapelelezi wafanye kazi yao. We subiria matokeo tu.
Yaani hawa watetezi wa Ma sai watarukwa na akili, MTU anaona real pic, lakini anajitoa ufahamu?!?!...eti beki 3 kasetiwa khaaa?!?!!
 
Kwanini uumize kichwa ivyo mkuu na assumptions kibao. Acha wapelelezi wafanye kazi yao. We subiria matokeo tu.
Kama ni hivyo na wewe usingehangaika na hukumu/assumption. Tupo kwenye mjadala, matokeo ya upelelezi baadaye. Labda pia CID`s wanapita hapa kupata clue
 
Yaani hawa watetezi wa Ma sai watarukwa na akili, MTU anaona real pic, lakini anajitoa ufahamu?!?!...eti beki 3 kasetiwa khaaa?!?!!
Hahaha si watetezi. Ni mnakasha tu, tunajaribu kugusa angle za possibilities kwa mtazamo tu. Hata wewe huna hakika 100% nani amehusika kama ambavyo Polisi hawana, ndiyo maana hajapelekwa Mtu mahakamani.
 
Back
Top Bottom