Mapya yaibuka mauaji ya Aneth Msuya

Mapya yaibuka mauaji ya Aneth Msuya

Kuchomoka atachomoka kwa uweza wa mungu maana mungu ndio hakimu kushinda mahakimu wote kwenye hii dunia na anahukumu kwa haki akisema ndio hakuna wa kusema hapana
Hapo pagumu sana mana kuna viashiria vingi kuhusu yeye mariam.....istoshe kuna mtu mwingne kakamatwa juzi ucku mountmeru hotel ni mtu wa karibu yake.police huwa hawakosei kamwe jua hilo
 
Police huwa hawakurupuki kwenye swala zito kma hili....kuna shida tena kubwa tu kwa mariam


eti police hawakurupuki mbona walikurupuka kumkamata x-husband wa marehemu let's not conclude mkuu anaweza kua Na shida nyingine huyo Miriam lakini sio ya kuua kizembe hivyo Hacheni story Za vijiweni
 
eti police hawakurupuki mbona walikurupuka kumkamata x-husband wa marehemu let's not conclude mkuu anaweza kua Na shida nyingine huyo Miriam lakini sio ya kuua kizembe hivyo Hacheni story Za vijiweni
Upelelezi cku zote huanzia kwa watu wa karibu yko hilo la mariam kuna viashiria wameona ndio mana amekamatwa.hakuna story za mitaani hapa hata jamaa aliekua anatembea nae kakamatwa na istoshe gari alioenda nayo dar mara kwa mara nayo imepelekwa dar.....police wanaushahidi kua kahusika
 
Always follow the money. ..huyo atakaye faidika ndiye
 
Upelelezi cku zote huanzia kwa watu wa karibu yko hilo la mariam kuna viashiria wameona ndio mana amekamatwa.hakuna story za mitaani hapa hata jamaa aliekua anatembea nae kakamatwa na istoshe gari alioenda nayo dar mara kwa mara nayo imepelekwa dar.....police wanaushahidi kua kahusika
Kama upelelezi unaanzia kwa watu wa karibu basi wangeanza na ndugu zake miriam tangu mume wake alivyokufa hakuwahi kumuona mpaka anathe alivyokumbwa na umauti ni miaka 3 hajamuona na hakuwa na sababu za kumuua huyo anathe
 
Hapo pagumu sana mana kuna viashiria vingi kuhusu yeye mariam.....istoshe kuna mtu mwingne kakamatwa juzi ucku mountmeru hotel ni mtu wa karibu yake.police huwa hawakosei kamwe jua hilo
Police ni mwanadamu bwana sio mungu mpaka akosee kukamatwa kwa mtu mwingine ambaye ni wa karibu naye haimaanishi na yeye ndio kahusika miriam anajuana na watu wengi sanaaaaa
 
Police ni mwanadamu bwana sio mungu mpaka akosee kukamatwa kwa mtu mwingine ambaye ni wa karibu naye haimaanishi na yeye ndio kahusika miriam anajuana na watu wengi sanaaaaa
Dada mariam amekutwa anawasiliana na housegirl sana.hata kabla ya anneth kuuawa aliongea na housegirl zaidi ya mara 10.....jiulize tu alikua anaongea nae nini kila cku
 
Dada mariam amekutwa anawasiliana na housegirl sana.hata kabla ya anneth kuuawa aliongea na housegirl zaidi ya mara 10.....jiulize tu alikua anaongea nae nini kila cku
Usinambie?!?!!!...mkuu hebu funguka kidogo, ujue nafatilia kwa karibu comments zako, kama hutajali njoo PM plse
 
Kaka kwenye issue za mali na familia zilizobubikwa na tamaa iliyozidi mipaka nawezekana kabisa, kaka doubt kubwa iko kwa huyo maid wa Aneth, huyo mke wa marehemu hamjui wala hana uhusiano na huyo maid, huyo maid aliletwa na mama wa marehemu na ndio anamjua kwa muda mrefu huyo mama kakaa na maid zaidimya miaka kumi ndio akamleta kwa mwanae WHY?, sasa iweje Mke wa Erasto apange kumuua Aneth na Maid akae kimya while yuko ROYAL na karibu mno na mama wa Aneth, si angesema tu mpango uliopo?
Kwa ilivyokiwa sio raisi kwa maid kuwa timu moja na mke wa marehem, lakini ni rais mno kiwa timu moja na mama Aneth, NI SIMPLE LOGIC TU

Cc: HOPECOMFORT

Yani nyie bana!!! Kwaiyo kwa akili zako huyo mama kampeleka huyo binti kwa Anneth kwa sababu maalum basi siku hizi polisi watakua na huruma sana!?!? Kwa vipigo vya vyao binti amtaje mama Simon badala ya mama yake Anneth!!!!!!!! Ngojeni polisi wafanye kazi yao bana acheni kuongezea habari zenu za kizushi.

Sasa mamake Anneth anataka mali za nn!?!? Ni kweli amekosa machungu ya kuondokewa na watoto wake wa2!! Haujawahi kufiwa wewe wala haujui uchungu wa kufiwa.

Anneth kafa kwa mateso sana jamani huku kamuacha mtoto mdogo. Mungu sio kipofu kiasi hicho asiweze kuona hilo jambo. Damu ya mtu haimwagiki bure
 
I

I strongly agree,wamama wa mererani wana Tamaa kubwa sana ya Mali Za Watoto wao they can do anything for money iwe kwa kuua Au kwa kua Na uhusiano Na mtoto wake wa kiume kimapenzi yupo radhi ajilengeshe kwa mtoto kisa mali

Mpaka ukweli ufahamike mengi yatasemwa humu. ....wamama wa mererani!?!?!??!?? Oook
 
Hapo pagumu sana mana kuna viashiria vingi kuhusu yeye mariam.....istoshe kuna mtu mwingne kakamatwa juzi ucku mountmeru hotel ni mtu wa karibu yake.police huwa hawakosei kamwe jua hilo

Unazidi kuwamaliza mkuu.... Wenyewe wanakuja na kauli za kila aina. Kama kweli huyo mama hausiki si wakae kimya mahakama ifanye kazi yake? Mashaidi wenyewe si ndo wao kwanini wasisubirie siku ya kesi? Nahisi wanazidi kumuharibia huyo mama Simon.
 
Unazidi kuwamaliza mkuu.... Wenyewe wanakuja na kauli za kila aina. Kama kweli huyo mama hausiki si wakae kimya mahakama ifanye kazi yake? Mashaidi wenyewe si ndo wao kwanini wasisubirie siku ya kesi? Nahisi wanazidi kumuharibia huyo mama Simon.
Huyo mama namfahamu hata mimi mara ya kwanza sikuamini.ila kuna viashiria vingi vinamlenga yeye bila kusingiziwa
 
Dada mariam amekutwa anawasiliana na housegirl sana.hata kabla ya anneth kuuawa aliongea na housegirl zaidi ya mara 10.....jiulize tu alikua anaongea nae nini kila cku
Hatareee...
kosa akilofanya ni kumuacha housegirl anapeta na kutumia namba yake ya simu..!
damu ya mtu haimwagiki bure asee lazima itasaka walioimwaga hadi wote waisotee...
Yale mateso ya kubaka na kuchinja binadamu hadi kukata roho yaliashiria kisasi kizito
 
Police ni mwanadamu bwana sio mungu mpaka akosee kukamatwa kwa mtu mwingine ambaye ni wa karibu naye haimaanishi na yeye ndio kahusika miriam anajuana na watu wengi sanaaaaa

Polisi wakosee wapatie haituusu.... Ili mradi ukweli ujulikane tu. Wangepatia kama nao wangekuwepo kwenye tukio siku hiyo. Hivi wewe ubakwe na watu sio mtu na kama haitoshi uchinjwe!!!!!! Kweli!!! Ni adhabu Kali kiasi gani binadamu kumpa mwenzake. Natamani nawewe ungechukuliwa tu kuliko kuendelea kua hapa na vi utetezi vyako.
 
Nasikia hakuhudhuria maziko ya wifi yake (Marehemu Aneth).
Najiuliza...Aneth ndio alikuwa mstari wa mbele katika kesi ya mauaji ya kaka yake.
Kama wifi yake huyo anahusika katika mauaji yake (Aneth) probably anahusika katika mauaji ya mumewe (Erasto)
Hatari sana.
Kuna uwezekano maana naona na gari walilotumia wauaji limekamatwa nafikiri kwa sasa litakuwa limefikishwa Dar. Lilichukuliwa CMC ni Toyota Hilux rangi ya bluu
 
Kama upelelezi unaanzia kwa watu wa karibu basi wangeanza na ndugu zake miriam tangu mume wake alivyokufa hakuwahi kumuona mpaka anathe alivyokumbwa na umauti ni miaka 3 hajamuona na hakuwa na sababu za kumuua huyo anathe
Upelelezi ni FANI watu wanakalia DESK miaka mingi then wanaGraduet...so sio kitu yakukurupuka....kwenye huo Msala asiehusika ataachwa aliehusika atapata iliyostahili yake Inavyoonekana Serikali imeamua kufanyakazi kweli kweli kwenye hii Kesi
 
Back
Top Bottom