Mapya yaibuka mauaji ya Aneth Msuya

Mapya yaibuka mauaji ya Aneth Msuya

Kupata mke mwenye hofu ya Mungu siyo jambo jepesi, ni kumuomba Mungu tu.
Yes ni kumuomba Mungu ila kutofautisha ni rahis na unaweza date ht wasichana kumi unachambua..sasa wewe ht siku moja mmekaa hata kuombea chakula tu anaona tabu...ikifika jpili unamcall ndio kwanza kalala anakwambia bby nimechoka jana tulihave fun sana somewhere....ht siku moja hakupigii kukumbusha bby church usisahau kwenda kesho ...tupa kulee hafai kwa matumiz ya sasa wala baadae
 
hii ni epsode 12 kama hukubahatika za nyuma tafuta kwanza ndio utaelewa kilichoandikwa
Mungu uliye Mkuu onyesha wauaji Wa huyu Dada Aneth. Nimesoma post nyingi tu lakini sijapata inayomhusisha mumewe Anathe ambaye tuliambiwa naye ni mtuhumiwa wa mauaji.
 
Mungu uliye Mkuu onyesha wauaji Wa huyu Dada Aneth. Nimesoma post nyingi tu lakini sijapata inayomhusisha mumewe Anathe ambaye tuliambiwa naye ni mtuhumiwa wa mauaji.
Mimi naona nita pass kwa mume wake Annet maana hiyo familia ya Msuya tayari ina mikiki mingi, unafikiri huyo kijana ataiweza? Maana hiyo familia ina pesa. ...huyo kaka hana nguvu yeye kaachwa na mke....
 
Mimi naona nita pass kwa mume wake Annet maana hiyo familia ya Msuya tayari ina mikiki mingi, unafikiri huyo kijana ataiweza? Maana hiyo familia ina pesa. ...huyo kaka hana nguvu yeye kaachwa na mke....
Nlishangaa msichana beautiful kama yule kuachana na mume wa ndoa bado mdogo. Mungu amtee tu kaka wa watu atoke selo. Sorry naye alikuwa anaishi Dar?
 
Nlishangaa msichana beautiful kama yule kuachana na mume wa ndoa bado mdogo. Mungu amtee tu kaka wa watu atoke selo. Sorry naye alikuwa anaishi Dar?
sijui kwa kweli
 
Mimi naona nita pass kwa mume wake Annet maana hiyo familia ya Msuya tayari ina mikiki mingi, unafikiri huyo kijana ataiweza? Maana hiyo familia ina pesa. ...huyo kaka hana nguvu yeye kaachwa na mke....


Kulikua kuna Uvumi kua anatembea na mume wa mtu akaonywa na mwenye mume lakini marehemu hakuacha kilichopo huyo mume wa mtu na mkewe wasakwe na wao waende wakasaidie police sidhani Kama mama Simon ameusika japo tuache police ifanye uchunguzi, marafiki wa anathe wakaribu wangesaidia kumtaja huyo mume wa mtu alikua Ni nani
 
Kwa kweli Marry kaeleza vizuri sana kiasi cha kuwaongoza hata wapelelezi wakajua pakuanzia au kuendeleza.Mke wa Erasto na kama walivyo wengi hakutumia busara hata kidogo.Hii inaonyesha hata marehemu Erasto akiwa hai huyu mkewe alikuwa anachepuka sana.Kwa kipindi kifupi hivi asingeweza kutafuta wa kumwoa kwani wazazi na ndugu bado walikuwa na machungu ya kumpoteza kijana alietegemewa na wote.Kama hamu zilimzidi angekutana na bwanake kwenye vyumba vya hoteli zake.Kwa vyovyote vile hasira za mawifi na wakweze ziliamshwa kwa kuona mali za ndugu yao Erasto zinaenda kumnufaisha mwanamme mwingine asiyezitolea jasho.Hili kibinadamu halivumiliki na ndicho kilichosababisha hata baba mkwe wake kuacha nadhiri yake na kutafuta ukweli wa kifo cha mwanae kwa waganga na kwa vyovyote vile ingawa siko akilini mwake alikuwa anataka kujua kama mkwewe alihusika na kifo hicho kwa kuona hakikumgusa sana na kutafuta mme mwingine.Huyu mke wa marehemu Erasto inaonyesha hayuko karibu na watu vinginevyo wangemshauri aache mpango huo kwani bado mapema na anao watoto wa kulea.
Polisi hawafanyi kazi kwa kutumia taarifa za kimbeya,polisi wana weledi mkubwa sana,waachieni wafanye kazi yao baada ya hapo ndio mtajua ukweli,acheni kuwa mabush cid.
 
Ukianza kusomaa madaa mwanzo mwishoo NA wachangiaji nahisi tunheshamtandika huyu mama saimon miaka mia bila kuthibitisha..lakini kwakuwa MUNGU yupoo nawambiaa Wanaendakuaibika waliojipangaa kupambana nae huyu mama ..Mali zamarehemu zitalindwa kwa hara zozoote NA hiloo familia wanajuaa ..HAKI ITAONEKANA VERYSOON N SHE WILL B THE WINNER STY TUNED
 
Kulikua kuna Uvumi kua anatembea na mume wa mtu akaonywa na mwenye mume lakini marehemu hakuacha kilichopo huyo mume wa mtu na mkewe wasakwe na wao waende wakasaidie police sidhani Kama mama Simon ameusika japo tuache police ifanye uchunguzi, marafiki wa anathe wakaribu wangesaidia kumtaja huyo mume wa mtu alikua Ni nani
Well said
 
Samahani lkn wana jf, hivi mbona nakumbuka kama wauwaji wa Eresto walikamatwa? sasa mbona kuna wachangiaji wengine wanadai wakikamatwa hawa wa Aneth ndio na wa Erasto watapatikana mbona sasa pasua kichwa?
 
Ahahhaa....KARANJA....hii bonge moja ya taktiki....unataka kumnyegesha ISIS...ahahaa....maeneo yake ya PM! lol
Siyo rahisi bana. ....hakima na busara mbele ndugu yangu. ...
 
Ushìndwe na ulegee Karanja 007...duh! Haki ya Mungu.
Mamii sikumaanisha ni wewe,ilikuwa ni kumchangamsha rafiki yangu,wewe nakuheshimu sana tena sana na nafuata masharti yako mamii,siwezi kabisa kukushushia heshima.
 
Hili suala lingeishia kwa Erasto isingekuwa shida hivi..
Tatizo ni kwa nini huyu Aneth nae awawe! !???
Huyo mama sijui kama atachomoka hapo.
 
Kulikua kuna Uvumi kua anatembea na mume wa mtu akaonywa na mwenye mume lakini marehemu hakuacha kilichopo huyo mume wa mtu na mkewe wasakwe na wao waende wakasaidie police sidhani Kama mama Simon ameusika japo tuache police ifanye uchunguzi, marafiki wa anathe wakaribu wangesaidia kumtaja huyo mume wa mtu alikua Ni nani

Mh sidhani...
Watu wengi humu wanavyowajua member wa hii familia vizuri wangekuwa wameshalitaja sana na wangemtaja na mume mwenyewe wa mtu

Umenikumbusha mkoa fulani nimewahi kuishi, ukichukua tu mume wa mtu wanakufanya mwehu, hakuna mwenye muda wa kuua mtu physically. Labda mwenye mume awe ana hofu kidogo ya Mungu ndo utasurvive.
 
Back
Top Bottom