jembelamkono
JF-Expert Member
- Nov 19, 2015
- 2,733
- 2,016
Sasa mkuu kama Mariam ametajwa na house girl polisi wafanyeje?Ni kwel hakuhudhuria ila ni baada ya mama mkwe kukutaa akidai kua akimuona atapata presha na anaweza kufa lkn pamoja na kuzuiwa kwenda alitoa wafanyakaz wa hotel yake na rambirambi shs million 3,,hiyo yote inasemekana wakwe na mawifi wanazitaka mali za marehemu ndo mana wanamsumbua mke wa bilionea Erasto,pia ndugu wa Erasto wamekuwa wakimletea watoto wa nje wakidai ni wa marehemu ili awape urithi na huyo dada anatoa tu hapo police wafanye uchunguz wa kina kuna kitu kinatafutwa
Ainanomampwaaaaa ntakujana dokpjkwdhsnnkaibbesokd ilantafutielodgeyabukutanowdfckemslaPoaaPooooaaa mpwa ukija njoo basi dhdhdgdieksjshshwhsgd
Heudydusjshahskdodidiejs
Ieudhd7e6wgwbuw2ehdjsksksmshy
Mwishowakesi mkewaerasto guru mabweha washaliwapesazao mama anashtako jamstampUyo uliemnukuu katoa maelezo angalau yanajenga taswira fulani hivi ingawa amekiri kuwa na uhusiano wa karibu na huyo mama.
Ninachokiona kwako ni kutolea maelezo kipande kidogo sana ambacho alishakielezea hapo mwanzo jinsi ilivyokuwa na nina uhakika kabadili baadhi ya mitazamo ya watu humu kuhus hiyo kesi.
Kukushauri tu pitia comments zake zote alaf umuuluze kuabzia huko sio kama unavyofanya sasa.
Ushauri tu
Mungu akubariki sana ndugu, nimekusamehe japo sikustahili tusi hilo.Wekonyoousiejuaa nduguyoo ameuaawangapii kaakumyaa penginee kakupitia nawewee
HUYO MWANAMKE MAMA SAIMON NIMEFANYA KAZI NAYE NA NINGESHANGAA KAMA ASINGEHUSIKA NAMJUA VIZURI TABIA ZAKE MI ALISHAWAHI KUNIKAMATIA BASTOLA................ WACHA AISOME NAMBA.KWANZA MUMEWE ALIVYOFARIKI HATA KABLA MACHUNGU HAYAJAISHA ALITANGAZA NDOA NA MTU MWINGINE NA ERASTO HAKUWA MUME WA KWANZA ,,,,,,, ALIOLEWA MUME AKAWA HANA MKWANJA WA KUTOSHA ERASTO KAJA KAMUOA.................
Damu ya mtu huwa haiendi bure ndugu yangu. Mungu akitaka kukuumbua anakuumbua tu. Wenyewe walijiona ni wajanja sana wakati wanapanga huo mpango lkn kumbe yupo Mungu msemaji wa mwisho. ona sasa wametegeka kwa kitu kidogo sana. Damu isiyo na hatia itawafuatulia siku zote za maisha yao. Mungu siyo mjombake mtu.uwiii kati ya matukio ya mauaji ya kijinga niliyowahi kushuhudia ni hili...walishindwaje ata ,kumzimisha beki taraa na kumfunga vikamba vya uongo na ukweli....elimu elimu elimu!!! wacha anyee debe kubwa jinga shenzi kabisaaa
Ndugu wa damu waliimuua dada yao shetan huyumhhDunia ishamkorea shetwani sana io nimeona ITV jana
hii ni epsode 12 kama hukubahatika za nyuma tafuta kwanza ndio utaelewa kilichoandikwaSijaelewa mada. Sijaelewa kilichoandikwa. Sijaelewa namna ulivyo andika.
Binadamu karne hii amekosa mvuto kabisaaNdugu wa damu waliimuua dada yao shetan huyumhh
We acha tu. ..huyu mtu anachekesha sana. ..jf kiboko hakika hufi pressure. ..hahaha. .lolAhahhaa....KARANJA....hii bonge moja ya taktiki....unataka kumnyegesha ISIS...ahahaa....maeneo yake ya PM! lol
Ushìndwe na ulegee walahiUzombi wa chagaland
uwakika unao??huyo siajabu hata mumewe alimuua yeye,
Wakowaliomwombaombaasanahela huyumamaa nasemaa ardhi itasemaa nawashaurii wasijekuliaawenyeweweMulhat
Uropokaji mwingine sio mzuri. Kakushikia bastola weye ili umfanyeje? We ni so expensive mpaka akutake kwa bastola? Au ndo omba omba mnaozoea kumwendea kila uliyesikia katoka na jiwe shimoni mnawafanya hata wasilale nyumbani kwa kuomba kwenu?
Simuungi mkono muuaji yeyote ila, nangojea hadi ushahidi wa kumtia hatiani ufanyike. Ka ni yeye, sheria isimhurumie. Kumbuka, alikuwa na mtoto mmoja tu wa kiume, Je, ataacha kumtonya atakayo kuyafanya kwa ajili yake? Nawaza tu
Ulitakaagegede paka mpwaa hahaaa hope amewaachia nasandaIla Jamaa aligegeda Sana Dada zetu...kwenye hotel zake unaweza kuta anao Wa 4 room tofauti na wote anapiga mgegedo kwa siku.
Pesa acha iheshimiwe!
Mpwaanaomba radhinilikuwa Niko HII namhemuko wamechi ya Yanga plsMungu akubariki sana ndugu, nimekusamehe japo sikustahili tusi hilo.