Espy_
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 91,951
- 183,438
Sawa sawa mkuu.Hamna ni mtizamo tu wa kwangu mimi unaweza kwenda kwako pakawa ni pa kawaida
Sawa sawa mkuu.Hamna ni mtizamo tu wa kwangu mimi unaweza kwenda kwako pakawa ni pa kawaida
Teh teh ,kweli mwanzoni tuliingiaga hko roots&shoots,friends of usambara kwa ajili ya michongo tu,ila badaye ikaja passion,kitu kukipenda,kujitoleaWewe mzee kwenye fursa za kupata posho tena ukose? Nilitaka nishangae
Mazingira ya matter sana,hata ile korogwe juu kule,ukipandia msambiazi kuelekea lutindi missionAcha kabisa ndio maana mazingira ya namna hiyo hata magonjwa ya ajabuajabu hayapo halafu watu wanaoishi mazingira cool kama hayo hawazeeki haraka na wanaishi muda mrefu, eneo liwe na ukijani, kibaridi fulani hivi halafu kuna cracks za ndege tu hata chakula kinashuka njoo jiji la dar ukiwa unakula unatokwa jasho kama uko vitani unaandaa makombora,
Kuna tajiri yangu mmj mdosi yeye ana beach house iko kama unaelekea pemba mnazi,yeye akiendaga hko sim,zote anazimaUkija kufahamu kuconnect na nature hutotamani kelele za simu wala fujo za net huko ni kula, kushangaa mazingira, kujisomea vitabu na novels mbalimbali, yaani unaflash kichwa unatoka ukiwa mpya kabisa, unapata muda wa bites, soft drinks, wines, na kadhalika usisahau choma za samaki au nyama hata ngozi inakua na nuru kabisa
Mkuu mwanzoni tuliingia kimchongoMrangi iwepo fursa ya pesa akose? Muulize kama walikua wanajitolea au vipi
Hapo Irente vyumba bei gani?Nipo Lushoto kwa mwezi sasa pametulia sana ni kijani kibichi.
Maeneo ya starehe yapo kama water falls nakadhalika.
Ukitaka kulala nenda hotel inayoitwa Irente ndipo ninapofikia nikiwa Lushoto.
Vipo kuanzia 70 nadhani maana mimi mara nyingi nachukua vya bei hiyo.Hapo Irente vyumba bei gani?
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kwahiyo ulikuwa hunioni jamani[emoji134][emoji134][emoji134]
😍Thanks dear
Mkuu nenda swiss farm cottage hutojutia trip yako nataka nirudi Tena mwaka huuu mungu akijaaliaView attachment 2469388View attachment 2469389
Huo ni uongo nimeshatembelea Lushoto twice lakini hakuna hata watoto wazuri, labda ukutane na demu mgeni naye kaenda mapumzikoni.
Akili ya wabongo moja mademu, pili ulabu [emoji23] [emoji23]... Hii ni mentality ya ajabu sana aiseeWabongo kwanini mapumziko lazima uwe na demu?
Huu sio ulimbukeni kweli?
Sex ni sehemu ya mapumziko kwa mtu aliyechoka mwili na akili kweli?
Hatuhitaji kubadili mtazamo kweli?
Nimeuliza tu mkuu.
RRONDO tia neno bro
Hayo si yanafanyika kila mara hatuyazoei tu?Akili ya wabongo moja mademu, pili ulabu [emoji23] [emoji23]... Hii ni mentality ya ajabu sana aisee
Exactly for the past 7 days nilienda shamba kwangu, very quite jirani kuna Forest Nature Reserve nzuri sana.. Unaamka asubuhi unatembea msituni very cool, milio ya ndege, mbega, ngedere kibao... Yaani so exciting... Jioni shambani unakula maembe fresh from the trees, Nanasi fresh, Mafenesi fresh... Usiku nje mbalamwezi safiii... Yaani kiukweli ni total refreshments na ukirudi akili imechaji vya kutosha kabisa, and full prepared na mishe mishe za town.Wengine ni aged kabisa lakini wamekua na mtazamo wao potofu.
Hakuna mapumziko bora kama ukiwa mwenyewe.
Kwa hiyo wazungu na hili barafu mpaka wanakufa ina maana muda wote wako na mademu? [emoji12] Ukweli utabaki kuwa wabongo mentality zetu ni mademu na ulabu, sikiliza hata stories zao na nyimbo zao..Am business man, so traditionally when I travel leisure component ni muhimu sana kwenye package yangu, this revives me back to life of Eden, it's my choice, it's my life, it's my taste, it's my choice wewe endelea na gospel singing pia ni soft recreation.
Siwezi kwenda Irente View Point bila demu never, climatic condition ya Lushoto bila demu utakuwa na uzuzu fikirishi sana.
Usikasirike nimekupa tu upande wa pili wa utafauti katika maisha. Leisure travel means leisure travel, bring back urself to life with productive energy.