Mapumziko ya Mwili na Akili, Lushoto

Mapumziko ya Mwili na Akili, Lushoto

HIi inategemea na mindset ya mtu na experience yake katika mambo.
Kuna watu huwatoi kwenye ma vibe ya clubs na sehemu kama za samaki samaki palivyo na kelele za kufa mtu hasa zile saa wanapotangaza watoto na wajawazito waondoke zianze amsha amsha.
Haha mfano sisi wengine tuko kinda neutral mkuu kuna wakati tunatamani kuwa sehemu iliyochangamka na kuna wakati tunatamani kuwa sehemu iliyotulia

Lakini binafsi kadiri umri unavyozidi kusogea naona kama naegamia zaidi kwenye sehemu iliyotulia kuliko iliyochangamka

Yani tofauti na zamani nilipokuwa teenager niliegamia zaidi kwenye sehemu iliyochangamka kuliko iliyotulia ila mambo yanabadilika
 

Attachments

  • 2DB3821F-DD06-4806-A03F-9E88388ECCBF.png
    2DB3821F-DD06-4806-A03F-9E88388ECCBF.png
    226.5 KB · Views: 20
Haha mfano sisi wengine tuko kinda neutral mkuu kuna wakati tunatamani kuwa sehemu iliyochangamka na kuna wakati tunatamani kuwa sehemu iliyotulia

Lakini binafsi kadiri umri unavyozidi kusogea naona kama naegamia zaidi kwenye sehemu iliyotulia kuliko iliyochangamka

Yani tofauti na zamani nilipokuwa teenager niliegamia zaidi kwenye sehemu iliyochangamka kuliko iliyotulia ila mambo yanabadilika
Mara chache sio mbaya
 
Mimi na mazonge yangu,maumjinimjini
Ila linapokuja suala la miti,nature
Napenda sana
Ule ukijani naupenda sana sana

Ova

Acha kabisa ndio maana mazingira ya namna hiyo hata magonjwa ya ajabuajabu hayapo halafu watu wanaoishi mazingira cool kama hayo hawazeeki haraka na wanaishi muda mrefu, eneo liwe na ukijani, kibaridi fulani hivi halafu kuna cracks za ndege tu hata chakula kinashuka njoo jiji la dar ukiwa unakula unatokwa jasho kama uko vitani unaandaa makombora,
 
All in all, shida yangu kubwa na maeneo tulivu ni ukosekanaji wa mtandao. Sipendi niwe sehemu halafu nikawa offline sikunzima.

Ukija kufahamu kuconnect na nature hutotamani kelele za simu wala fujo za net huko ni kula, kushangaa mazingira, kujisomea vitabu na novels mbalimbali, yaani unaflash kichwa unatoka ukiwa mpya kabisa, unapata muda wa bites, soft drinks, wines, na kadhalika usisahau choma za samaki au nyama hata ngozi inakua na nuru kabisa
 
Haha hatari sana kwa mkoa wa Njombe hizo °C ni kawaida sana hasa Makete kule ndiyo kuna kipindi zinasoma hadi Negative mwendo wa barafu tu

Sent from my S6 using JamiiForums mobile app
Hapo nimeenda kipindi cha joto. Wenyeji wanasema mwezi wa sita maji kwenye mabomba huwa hayatoki 😃 mpaka wamwagie bomba maji ya moto.
 
Back
Top Bottom