Mh. Rais Ally Hassan MwinyiTatizo unapotosha! Kwa sasa tuna Rais Samia! Na amesha apa tayari. Magufuli ni marehemu. Sasa unataka hoja gani ijadiliwe? Si urekebishe tu maelezo yako! Au umeamua kuirithi ile tabia ya ukaidi na ujuaji?
Sasa hivi tunaongelea awamu ya Mama Samia siyo historia ya waliokuwa marais zamani.Wakazi wa Dodoma wamejitokeza na kuizunguka Airport ya Jiji la dodoma wakisubiri kuona Mwili wa Mh Rais Magufuli ukishuka tayari kuagwa hapo kesho.
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
for the record tu ni kuwa mafisadi wapo bungeni. na wengine mzee aliwajua. lakin hakuwagi kuwagusa.Mtaongea hadi kilugha ila Fisadi hatokatiza tena mbele ya watanzania
Katoka chimbo baada ya mtesi wao kufariki... duh! HAMY-D upo? Umepga U-turn ya hatari!
Mataga,JK yupo jikoni anawatengenezea sumu yenu Samia aje awanyweshe.Mh. Rais Ally Hassan Mwinyi
Mh Rais Benjamini Mkapa
Mh Rais Karume
Mh Rais Shein
haya sasa nenda kanisemee MIGA
Ni kawaida sana watu kumshangaa marehemuWakazi wa Dodoma wamejitokeza na kuizunguka Airport ya Jiji la dodoma wakisubiri kuona Mwili wa Mh Rais Magufuli ukishuka tayari kuagwa hapo kesho.
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
Wapo chato,Dar alikuwa Doto anawakilishaSijaona family yake nikiwa na maana watoto wake kuaga mwili wa marehemu? Hapa kuna kitu gani kimejificha?
Dotto James au doto biteko?Wapo chato,Dar alikuwa Doto anawakilisha
Sijui kama ile title ya Makao Makuu mliyopewa itafikisha miezi sita kwa dalili nazoziona, watoto wa mjini wanaonekana hawataki kabisa kuiachia Dsm.