Mapokezi ya David Silinde ni ushahidi CHADEMA mlifanya makosa

Mapokezi ya David Silinde ni ushahidi CHADEMA mlifanya makosa

Siku moja tukiwa shulen mwalim aliingia darasan nakumbuka ilikuwa time ya kujiandaa na paper ya kuhitim shule ya msingi mwalim akuunda makund kwa ili tuwe tunajadiliana bnafs nikaona ya nn yakiyonikuta siku ya mtihan staki hata kukumbuka so umoja ni the best solution no matter what
 
....

.....wao na kitingatinga sisi na amphibian tank
Kweli kabisa mkuu watapambana na new generation Armata tanks.Ila kujiunga UKAWA hakuna ubaya wowote bali jambo jema kwani wote ni wawakilishi wa wanyonge waliopokwa haki hata ya maoni yao kuwapo kwenye katiba.
 
Mwenyezimungu amuongoze Silinde,kijana anayetambua anachokifanya,ana misimamo ni miobgoni mwa vijana wachache walifanikiwa kisiasa soon baada ya kutoka chuo(kugraduate) namtakia kila la kheri huko kwenye siasa.Alijitoa sana kupambana na Administration ili wanafunzi wenzie wapate haki.Kuna nyakat alisimamishwa masomo ila leo hii hata mzee Rwekaza akimuona anamwita Mh.Jaalia Silinde ndo yupo kwenye kamati Let say PAC na wanamuhoj Rwekaza ni lazima amwite jamaa mhewhimiwa.Heko Silinde mkazi wa zamani wa HALL II,room namba 430'kama sijakosea',floor ya 8
 
Dah! Jamaa anakubalika hasa nimependa baada ya kuona tunduma CDM inapita bila kupingwa kaamua kugombea jumbo jipya.
 
Mkuu mimi sio mwana UKAWA, tafadhali sana, bora unitukane kuliko uniite hivyo!
Mkuu MUSSA ALLAN tangu mwanzo wa mchakato wa wagombea urais kwa ticket ya ccm ulipoanza,wewe ulikuwa mstari wa mbele kumuunga mkono lowassa. Vp kwa sasa utabaki lumumba au utamfuata mamvi huko chadema anakoenda au unabaki ccm!!?
 
Last edited by a moderator:
Bro, mimi mawazo yangu CDM ndiyo wapinzani. Hao wanyamwezi tuachane nao wapambane kivyao. Target ya Chadema kwa sasa siyo urais, tunataka wabunge wengi tuondoe waitika ndiyooo. Tushike na kile kiti cha spika.
 
Hapo ndipo Yuda Iskarioti alipotaka kwenda kujaribu kufukia bahari kwa mchanga wa kalai akakumbana na dhahama.
 
Back
Top Bottom