Kinjekitile junior
JF-Expert Member
- Apr 20, 2015
- 4,404
- 581
Si wa CDM tu, wote wa UKAWA CHUNGENI NDIMI ZENU MUWE WAVUMILIVU.
Mnakumbuka shuka asubuhi!!!teh teh ulisikia wapi Kunguru wanafugika?
Si wa CDM tu, wote wa UKAWA CHUNGENI NDIMI ZENU MUWE WAVUMILIVU.
Mkuu Masiya hilo halina ubishi. Tatizo hapa watu wengi tunaongea kishabiki bila kuangalia uhalisia wenyewe. Hebu tuache ushabiki tuwe wakweli. UKAWA siyo chama cha siasa,wakikubaliana kuwa na mgombea wa cuf kwa mfano;maana yake vyama vingine vitamuunga mkono. Tufanye ashindwe lkn apate angalau 35% ya kura za urais,watafanya nn kuhusu viti maalumu na ruzuku inayoongezeka kutokana na kura za mgombea urais!!?? Ukifikiria hayo machache,huoni km chadema na ukubwa wao km walikuwa na sababu ya kuingia ktk muungano usio na tija. Km wangeungana na kuvunja vyama vyao kisha kuwa na chama kimoja chenye nguvu hapo me nisingekuwa na shida. Lkn muungano huu,chadema wameingia choo cha kiume.UKAWA ina sura ya kitaifa zaidi na nguvu zaidi ya chama kimoja kimoja kwa katiba ya sasa. Nje ya UKAWA kuishinda CCM itakuwa kazi ngumu zaidi. Viongozi wa UKAWA waongoze katika hili na wote ukiacha maadui wa UKAWA TUCHUNGE NDIMI ZETU.
UKAWA ina sura ya kitaifa zaidi na nguvu zaidi ya chama kimoja kimoja kwa katiba ya sasa. Nje ya UKAWA kuishinda CCM itakuwa kazi ngumu zaidi. Viongozi wa UKAWA waongoze katika hili na wote ukiacha maadui wa UKAWA TUCHUNGE NDIMI ZETU.
.....dadadeki nabado mziki unakuja !!!!
![]()
Nahisi we ni shabiki wa ccm wajiondoe UKAWA ili iweje,we unadhani Hapo ni mashabiki wa chadema tu,Hapo niwanamageuzi jumlisha bendera fuata upepo upo.
Aisee lakini hakuna kilichopotea wakizingua tunalianzisha kvyetu maana twajiweza siye
mkuu huu uzi haukufai nenda kwenye nyuzi za kumsifia aliyeuza nyumba za serikali .UKAWA haina sura ya kitaifa ina sura ya KUCHUMIA TUMBO ndo maana hata sasa imeshindwa kutoa mgombea!