Mapokezi ya David Silinde ni ushahidi CHADEMA mlifanya makosa

Mapokezi ya David Silinde ni ushahidi CHADEMA mlifanya makosa

Cdm ni hatareeeee,hapo ni tunduma alipofukzwa Mzee wa misifa,teeeeeh,teeeeeh
 
CUF wanazingua.Tutawakata wakiendelea.

Mkuu cdm wanafurahisha sana,silinde amewaambia wapiga kura wamruhusu akagombee momba kwenye jimbo jipya lililoanzishwa na ccm kwa hira na hilo la tunduma agombee mgombea mwingine wa cdm maana anaamini atachaguliwa tu,we wacha tu
 
Silinde ndio kaisha kisiasa kwa kuamua kutorudi bungeni.
 
Umoja ni nguvu wewe acha CHADEMA Tupate viti vingi vya ubunge then tutawachinjia baharini UKAWA
 
Nimeona mapokezi makubwa sana ya David Silinde mbunge wa CHADEMA, nimeridhika kabisa CHADEMA walifanya makosa makubwa sana kujiunga na UKAWA. Kama mkutano wa mbunge unazidi mapokezi ya mgombea urais wa CCM ni wazi CHADEMA ilikuwa imejijenga na haikuwa na sababu ya kujiunga na chama kingine.

Check hapa mafuriko ya wananchi ambao hata hawajabebwa..!
attachment.php

attachment.php

attachment.php
Nipatieni twaarifa malumu juu ya huyu Dogo. kunagazeti moja limeandika alikwenda KUAGA sasa amehama chama, hagombei tena au wehu wa mwandishi tu?
 
Katika hali ya kushitusha aliyekuwa mbunge wa jimbo la momba ndugu sirinde amejikuta ktk wakati mbaya kutokana najimbo lake kugawanywa ambapo kumekuwa na majimbo mawili tunduma na momba katika mgawanyo huo sirinde ametupiwa momba ambako ndiko wananchi waeneo hilo wanachuki kuu! Kutokana na sirinde kuwatupa kwakuamini ngome yake nitunduma na kula atavunia huko, ilikuthibitisha ilo sirinde alitembelea jimbo hilo ilikuwaaga wanachama kwa muhula huu kwenye kata ya Ruwasho

Silinde akiongozana na Sugu walifanya mkutano nakuchinja ng'ombe tano nakusomba watu kwenye maroli kutoka tunduma na vijiji mbalimbali huku wenyeji waeneo hilo wakiwa wachache sana kwakususia mkutano pia pia aliwaalika manes na madaktar wa jimbo hilo ilikuhudhuria kikao cha ndan nakupanga kufanya sherehe kubwa lakin waalikwa walisusia kwakudai kuwa uhai wawatu nibora kulikokura zako Sirinde ni mbuzi wakafara aliyetolewa tunduma ilikupisha wenzake jimbo la momba ndiko sirinde alikozaliwa na ndiko hawamuhitaji kwasababu alihijali tunduma zaid akiamin ndko anakopata kura ama kweli usinyee kambi angali ..............inanyesha
Wasiwasi wako tuu kwakua unaongea bila utafiti .Silinde anazo data za kura alizopata 2010 kwa kila kata .kwa hiyo anajua anachokifanya.
 
Ccm huu si muda wa kulialia,Silinde anakwenda kuifuta ccm kwa kuwa tu imeshindwa kutumia mpaka wetu wa Zambia na Tanzania kuwanufaisha wanambeya! Peopleeezzz
 
Hawezi kushinda huko. Watu wa huko hawamtaki kabisa eti aliipendelea Tunduma ktk kipindi chake. Wako tayari kulipigia kura jiwe kuliko Silinde.
 
Back
Top Bottom