chongchung
JF-Expert Member
- Jun 23, 2013
- 14,695
- 45,965
Hiyo nyomi ya nyamagana Mwanza nzima mmeiona wakubwa?????
Tuwekeeni picha,watoa taarifa wote wa mkutano wa wenje jana,wote mnaleta maneno tu. Wekeni picha kila mtu aone. Km unazo huwezi kuziweka hapa sema nikupe number uweke kwenye whatsap me nizimwage jukwaani.Hiyo nyomi ya nyamagana Mwanza nzima mmeiona wakubwa?????
Mkuu ni kweli lengo lilikuwa jema. Sisi wengine tulishakuwa na mashaka tangu mapema. Ule ushirika ulifaa sana kwenye bunge la katiba na bunge la jmt. Huku kwenye ushindani kwa aina ya muungano wa UKAWA ni vigumu sana kuelewana..! Me ningekuwa wa kwanza kuunga mkono km wangekubaliana kuviua vyama vyote na kuwa na chama kimoja chenye nguvu sana..!!Lengo lilikuwa jema sana,lakini wenzetu wamevimba.wanataka waachiwe Zenji na bara.
Nimeona mapokezi makubwa sana ya David Silinde mbunge wa CHADEMA, nimeridhika kabisa CHADEMA walifanya makosa makubwa sana kujiunga na UKAWA. Kama mkutano wa mbunge unazidi mapokezi ya mgombea urais wa CCM ni wazi CHADEMA ilikuwa imejijenga na haikuwa na sababu ya kujiunga na chama kingine.
Check hapa mafuriko ya wananchi ambao hata hawajabebwa..!
![]()
![]()
![]()
Cdm hawapati kitu tunduma