Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 141,506
- 283,934
Na leo wenye ameifunga nyamagana kwa muda.....nyomi la hatari
asante mjomba .
Na leo wenye ameifunga nyamagana kwa muda.....nyomi la hatari
Nina mashaka na dhamira yako kutuletea huu uzi hapa jamvini!...UMOJA NI NGUVU......
Namuona Silinde kanenepa shavu dodo,nimekumbuka kipindi yuko chuo alivyokuwa ananipiga mizinga.,, kweli ubunge mtamu
Tutakutana October nyie lopokeni ila CCM n kiboko yenuuuuuuu nyie imbenii taarabu lopokeni maneno hayohayo tangu zamani kubeba lakinii tunashinda urais
Magamba yanapukutika yakiona picha hizi
UKAWA ina sura ya kitaifa zaidi na nguvu zaidi ya chama kimoja kimoja kwa katiba ya sasa. Nje ya UKAWA kuishinda CCM itakuwa kazi ngumu zaidi. Viongozi wa UKAWA waongoze katika hili na wote ukiacha maadui wa UKAWA TUCHUNGE NDIMI ZETU.
m.pu.mbavu mkubwa wewe tena shetani mweusi, tizama tu unavyoandika.
Mnaboa sana!!