Mapishi ya Kijeshi.....

Mapishi ya Kijeshi.....

Boflo bana.......saa huyu kuku ulimfanyeje akawa hivi?

suntanned-turkey-xl.jpg
 
Jeshini noma.

Waheshimiwa wetu ndo watakutana na hii kitu. Duh, hivi kina Bulaya wataweza kweli hii kitu kama hicho chakula wanachokula kwa sasa wanadai hakina hadhi ndo maana wanataka miposho zaidi?
 
Waheshimiwa wetu ndo watakutana na hii kitu. Duh, hivi kina Bulaya wataweza kweli hii kitu kama hicho chakula wanachokula kwa sasa wanadai hakina hadhi ndo maana wanataka miposho zaidi?

Wakwetu sidhani kama wanaweza huu mziki mkuu!
 
Back
Top Bottom