Sasa huyo na nywele zenye zipu anapika nini? Boflo umetumia zile dawa zako leo?
nadhani anamaanisha ni ususi wa kijeshi labda..
Mapishi na kujipodoa(saluni) ni shuruti kwa wanawake kuyajua.....
mi nimependa hizo nywele tu
mi nimependa hizo nywele tu
Boflo, wanapika juu ya kaburi?
kikawaida boflo hutoa picha na bonus nafikiri ni bonus hii.nadhani anamaanisha ni ususi wa kijeshi labda..