Mapishi ya Kijeshi.....

Mapishi ya Kijeshi.....

Boflo

JF-Expert Member
Joined
Jan 20, 2010
Posts
4,383
Reaction score
4,412
1.jpg

4.jpg
 
Hapo unakuta mko katikati ya pori halafu mmepata yai la mbuni ivi...lazima vitendea kazi vipatikane
chezea njaa wewe? Hatariii sanaa
 
Boflo, wanapika juu ya kaburi?
 
Last edited by a moderator:
Sasa huyo na nywele zenye zipu anapika nini? Boflo umetumia zile dawa zako leo?
 
Thread inaongelea upishi. Saluni na Mapishi yanapata vibali tofauti, moja city na yenzie tfda;lol

Mapishi na kujipodoa(saluni) ni shuruti kwa wanawake kuyajua.....
 
inaonekana hilo chapati limetumia unga wa DONA
 
Back
Top Bottom