Actually kilimo hufanywa na watu wachache na manufacturing hufanywa na watu wengi. Unapoanzisha viwanda, unachochea migration ya wakulima na unachochea ukuaji wa miji midogo kuwa mikubwa au vijiji kuwa miji.
Pia kuna vitu kama REA. Huu mradi kama hautakuwa coupled na industrialization drive, faida yake aitakuwa kubwa, watu watalima mahindi na mihogo na watashindwa hata kulipia gharama za huo umeme.
Ukichochea uzalishaji wa kilimo tu, utakuwa na surplus for export, na hii haitakufikisha popote pale bali kukubakisha kuwa taifa linalolima na kuuza mazao nje na kununua manufactured products.
Unapochochea manufacturing unachochea population inayofanya kazi za viwandani ambayo itataka kula na itakuwa tayari kununua vyakula vinavyolimwa na watu wachache than before factories were established. Wakulima wachache, wenye soko kubwa la ndani watalima efficiently through mechanization,genetic engineering etc na kuchochea biashara na service industry.
Viwanda pia vinaleta technological transfer. naamini hata tu kwa mfano mdogo sana wa waajiriwa wa Tazara overpass, kuna watu wamejifunza welding, ujenzi, kuendesha bulldozers etc.. au angalau kuchochewa kujifunza hayo.
So, industrialization itoe focus kwenye investment of capital in manufacuring either from private sector or PPP. Na itanguliwe au iende sambamba na uendelezaji wa infrastructure.