Tutor B
JF-Expert Member
- Jun 11, 2011
- 9,025
- 6,614
Hizi data za kupika hatufikishi kokote
Ukweli unabaki pale pale kwamba tukikurupuka kujiingiza kwenye viwanda wakati kilimo kinasuasua hatuendi kokote. Kilimo kinagusa karibia kila sekta. Viwanda vitategemea mazao ya kilimo, viwanda vitatengeneza pembejeo kwa ajili ya kilimo, viwanda vitatengeneza madawa kwa ajili ya kilimo, viwanda haviwezi kuwepo bila kilimo ila kilimo kinaweza kuwepo pasipo viwanda.
Ukweli unabaki pale pale kwamba tukikurupuka kujiingiza kwenye viwanda wakati kilimo kinasuasua hatuendi kokote. Kilimo kinagusa karibia kila sekta. Viwanda vitategemea mazao ya kilimo, viwanda vitatengeneza pembejeo kwa ajili ya kilimo, viwanda vitatengeneza madawa kwa ajili ya kilimo, viwanda haviwezi kuwepo bila kilimo ila kilimo kinaweza kuwepo pasipo viwanda.


