Mapigano ya kugombea ardhi yaua Tegeta

Mapigano ya kugombea ardhi yaua Tegeta

Na badu. Polisi sasa wamechoka hadi wanaelekeza raia kuua ili anayesalia ndo apeleke habari. Du! Hapo ujue mporaji hakutoa kitu kidogo kwa polisi. Wenzake wanatoa kidogodogo kwa polisi na wanapewa kikosi maalum na sio mabaunsa wenye kutumia misuli tu.
 
Mpiga picha na mtangazaji wana roho za ngumu ... yaani wanapiga picha wanahoji badala ya kutoa huduma ya kwanza! Ndivyo mnavyofundishwa huko vyuoni kwenu?

Sasa wewe ungepataje habari hizi?
 
Habari nilizozipata ni kuwa "MMILIKI" wa hilo eneo ni D. Yona Jr. Huyu ndiye aliyekimbizwa kwa mawe na wananchi akiwa kwenye Toyota Hilux!

!

Kama ndiye - sijui bado ataendelea kulala usingizi wa amani?
 
Hii hali Inasikitisha sana kwa kweli.........
 
Hali inasikitisha sana sijui tunaelekea wapi!
 
watu wanapoteza muda na wimbo wa AMANI, tengenezeni justice system inayofanya kazi, mtu akienda kinyume na sheria ANASHUGULIKIWA.
sasa hivi hakuna sheria TANZANIA, kama huna "connection" au hela hupati kitu, hata kilicho chako unanyang'anywa. Na wananchi wengi wanalijua hili.

Mnataka hawa wananchi wa Tegeta wafanye nini? mtu anaishi na familia yake kwenye nyumba yake , alioijenga kwa jasho lake, unataka kuja siku mmoja umtoe, alafu familia akailaze wapi? tena zaidi ya hapo wamepiga simu polisi lakini polisi wamekataa kwenda. Serikali haijali kama fujo hazitishiii utawala wake. Pale UDSM wanafunzi hata nje ya compound hawakutoka, FFU wakaanza kuwapiga na kuzuia maandamano yao. Sasa unataka huyu mwananchi wa Tegeta anyanyaswe kiasi gani na wananchi wenzake, polisi na mahakama hadi achukue hatua.

Tu focus effort yetu kuhakikisha haki inapatikana, mtu akileta fujo tunatumia sheria iliopo na kutoa hakumu kwa HAKI. Watu wataona hata aibu kufanya haya mambo.
 
Aliye kodi hao watu anaitwa CHACHA...naona taratibu Dar inakuwa kama Tarime
 
Leo asubuhi kamanda wa polisi Charles Kenyela anasema wamekufa wawili...alikuwa anahojiwa channel ten...........

Nikashangaa sana
 
eeh mungu nisamehe kwani ningekuwepo eneo la tukio lazima ningemwagia mtu petrol nimchome moto.
Haiwezekani matajiri watunyanyase hivi.
 
Sipendi watu wanaojilimbikizia mali wakiwaacha wenzao wakiteseka kwa umaskini wa kiwangi cha juu.
Sipendi watu wanaohodhi mashamba makubwa wasiyoyaendeleza wakati wengine wakijenga vichochoroni
Sipendi watu wanaotumia fedha zao kuwanyanyasa wananchi wa vipato vya chini

Ila hili la binadamu kumuua binadamu mwenzie kwa upanga kwa sababu ya ardhi/mali/nyumba: HALIVUMILIKI.

AUAYE KWA UPANGA ATAKUFA KWA UPANGA.

Eeeh Mungu nakuomba ULINUSURU TAIFA LANGU!
 
Kuna kundi la wavamizi wa ardhi maeneo ya mbezi beach, mikocheni, tegeta na wameanza kuingia salasala kwa kushirikiana na watu wa ardhi wanaiba faili zima ardhi na wanabadili documents na kuweka zao halafu wanaenda kuvamia kiwanja ukienda kulalamika wanawaita wanawaomba documents wakiangalia unakuta zako hazipo hiyo ndio unakua umeachia kiwanja hata ukienda mahakamani
 
Grabbed_Frame_1.jpg
Grabbed_Frame_2.jpg
Grabbed_Frame_3.jpg
Grabbed_Frame_4.jpg
Grabbed_Frame_4.jpg

hii ndio hali ilivyokuwa. jamani watz tumefika pabaya
 
Kuna kundi la wavamizi wa ardhi maeneo ya mbezi beach, mikocheni, tegeta na wameanza kuingia salasala kwa kushirikiana na watu wa ardhi wanaiba faili zima ardhi na wanabadili documents na kuweka zao halafu wanaenda kuvamia kiwanja ukienda kulalamika wanawaita wanawaomba documents wakiangalia unakuta zako hazipo hiyo ndio unakua umeachia kiwanja hata ukienda mahakamani

well said mkuu......kuna mama mmoja anafanya mchezo huu sana kwa kushirikiana na watu waa ardhi.......amepta viwanja vingi tu...
 
Grabbed_Frame_1.jpg
Grabbed_Frame_2.jpg
Grabbed_Frame_3.jpg
Grabbed_Frame_4.jpg
Grabbed_Frame_4.jpg

hii ndio hali ilivyokuwa. jamani watz tumefika pabaya

Bila kujali chochote kile.

Kutoa uhai wa binadamu mwenzio kwa sababu yoyote ile ni UKATILI.

MUNGU awalaani na kuwasamehe WAUAJI hawa. Na wakamatwe wakajibu mashtaka kwenye vyombo vya haki.....Unawezaje kumuua binadamu mwenzio namna ile kisa ardhi/mali?
 
Lawama ziende kwa jeshi la polisi walioacha unyama huu uendelee kutendeka mpaka watu kuuana
 
watanzania wenzangu ..... serikali itatuambia nini hapa au itatuambia mabaunsa walitumwa na chadema wavunje nyumba za wananchi na pia watatuambia wanainchi walitumwa na mh. Lema wawashambulie mabaunsa wewe subiri tuu... serikali yote imeoza na imelala walichobakiza ni woga wa kupoteza madaraka na kutupia wasiohusika lawama .......

please..... almighty God intervene to save or well being ...amen
 
jamani hii ni tanzania au imekuwa rwanda sasa? jmani serikali ipo kweli na inayaona haya?
 
Kuna kundi la wavamizi wa ardhi maeneo ya mbezi beach, mikocheni, tegeta na wameanza kuingia salasala kwa kushirikiana na watu wa ardhi wanaiba faili zima ardhi na wanabadili documents na kuweka zao halafu wanaenda kuvamia kiwanja ukienda kulalamika wanawaita wanawaomba documents wakiangalia unakuta zako hazipo hiyo ndio unakua umeachia kiwanja hata ukienda mahakamani

mhhh, sasa hii imefika mbali...sijui kama kuna kurudi nyuma!
 
LAWAMA SI ZA JESHI LA POLISI..... wahusika walioanza kupigana ndo lawama ziwaendee
 
Back
Top Bottom