hapo red mbona sikuelewi????????????hapo kwenye red&bold:
baby unachanganya mada. hakuna ushahidi wowote kuwa wewe ni 'ke'
hapo red mbona sikuelewi????????????hapo kwenye red&bold:
baby unachanganya mada. hakuna ushahidi wowote kuwa wewe ni 'ke'
Katiba mpya ndilo jibu halisi la kuondoa hii migogoro inayolikabili taifa letu.Migogoro ya Aridhi. Tutaidai hata kwa mabavu kama serikali ya Kikwete haitaki kusikiliza madai yetu dalili zimeisha anza kujionyesha!!!!!!Inasikitisha sana sana! Hata kama huyo anayedai kuwa hiyo ni ardhi yake na imevamiwa na wananchi, hakutakiwa kuidai kwa njia hiyo ya kuwavunjia wananchi nyumba zao! Kitendo cha kuvunja nyumba kiliamsha hasira kwa wakazi na kuona liwalo na liwe!
Hasira yangu ni kwa jeshi la polisi. Wanajibu kuwa "waache wauane akibaki mmoja atakuja kutoa taarifa". Fikiria ingekuwa ni wanafunzi wamegoma au wanaandamana kuelekea ofisi ya mkubwa fulani, vifaa vyote vya kutuliza ghasia vingetolewa ghalani!
Mpiga picha na mtangazaji wana roho za ngumu ... yaani wanapiga picha wanahoji badala ya kutoa huduma ya kwanza! Ndivyo mnavyofundishwa huko vyuoni kwenu?
ndio nasikia hapa hiyo habari....mwee....tumeanza kufikia huko Watanzania.....
kweli kidogo kidogo ndio mwendo.....nasikia wameshtaki polisi, polisi wakasema acha wauane wamwisho ndio apeleke taarifa......
mabaunsa wanawakaba wanahabari na kuwanyang'anya usafiri.......
KUMEKUCHA.....
kwahali ilivyokua mbaya hata hao wapigapicha na waandishi wa habari wangejaribu kutoa hiyo huduma yakwanza nawao wangepigwa nahata kuuwawa hali ilikua mbayasana kwamujibu wa picha tulizoona kupitia itv ilikua ni vita kamili kwakutumia silaha zajadi,wakulaumiwa hapo ni polisi walioitwa nawakakataa kwenda eneo latukio na si waandishi wahabari wakulaumiwa.Mpiga picha na mtangazaji wana roho za ngumu ... yaani wanapiga picha wanahoji badala ya kutoa huduma ya kwanza! Ndivyo mnavyofundishwa huko vyuoni kwenu?
Eee Mungu tusaidie Tanzania. Tunaomba uwafanye wote waliopata kikombe kwa babu wauchukie ufisadi, wasiwe na tamaa ya mali na waichukie siasa na wajitoe katika uongozi wa siasa....... Eee mungu tukubalie maombi yetuHiyo ndiyo fainali ya serikali legelege. Watajitokeza na machozi ya mamba. Nawaunga mkono wanaojitetea kwa kupinga uporaji unaofanywa na wenye ubia na serikali legelege. HIYO NDIYO AMANI NA UTULIVU WANAOUIMBA
Inasikitisha sana sana! Hata kama huyo anayedai kuwa hiyo ni ardhi yake na imevamiwa na wananchi, hakutakiwa kuidai kwa njia hiyo ya kuwavunjia wananchi nyumba zao! Kitendo cha kuvunja nyumba kiliamsha hasira kwa wakazi na kuona liwalo na liwe!
Hasira yangu ni kwa jeshi la polisi. Wanajibu kuwa "waache wauane akibaki mmoja atakuja kutoa taarifa". Fikiria ingekuwa ni wanafunzi wamegoma au wanaandamana kuelekea ofisi ya mkubwa fulani, vifaa vyote vya kutuliza ghasia vingetolewa ghala
Nimesikiliza Clouds FM wakimuhoji mjumbe wa nyumba Kumi wa eneo hilo
anasema walikuta vichaka wakafyeka na kujenga na hawajui ardhi ni mali ya nani
je ni halali kufanya hivyo bila utaratibu? kwa sentensi hiyo ni wavamizi?
serikali inatakiwa kuwahoji wananchi wa eneo hilo ili kupata ufafanuzi zaidi
pia kujua waliokwenda kubomoa majengo walitumwa na nani?
Serikali kupitia chombo chake cha dola, polisi ndio walihalalisha mauaji ya Tegeta.
Wananchi walipo omba msaada polisi kwa njia ya simu na kisha kufika kituoni, polisi walitoa maagizo ya kwamba wakachinjane, atakae baki ndio aje atoe taarifa.
maneno mazito hayo mkuu. natamani uweke uthibitisho, au unyamaze tu tuendelee kuomboleza.
Serikali kupitia chombo chake cha dola, polisi ndio walihalalisha mauaji ya Tegeta.
Wananchi walipo omba msaada polisi kwa njia ya simu na kisha kufika kituoni, polisi walitoa maagizo ya kwamba wakachinjane, atakae baki ndio aje atoe taarifa.